Tanzania ina waganga wa jadi na wakunga wa tiba asili 75,000 huku 6000 pekee ndio wamesajiliwa
Msajili Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Mboni Zuwena Bakari, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akielezea kuhusu maendeleo ya tiba hiyo. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Tiba Asilia na Tiba Mbadala, Dk. Paulo Mhame na kulia ni Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Catherine Sungura.
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Imeelezwa kuwa Tanzania ina waganga wa jadi na wakunga wa tiba asili 75000 ambaapo waliosajiliwa pekee...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Wakunga na waganga wa tiba mbadala wajitangaza kuacha kabisa kazi hizo
Bi Zaibabu Juma mkazi wa Kijiji cha Iguguno.
Bi Amina Selemani wote ni wakazi wa Kijiji cha Tumuli waliotangaza rasmi kuachana na huduma za kuwasaidia wanawake wajawazito kutokana na uzee pamoja na maradhi ya kifua.
Mganga wa tiba mbadala, Bwana Gervasi Dule, mkazi wa Kijiji cha Senene.
Wakunga wa jadi,Bi Fatuma Omari (wa kwanza kutoka kulia) na Bi Tatu Hassani(wa pili kutoka kulia) waliotangaza kuacha kutoa huduma za ukunga wa jadi kwa akina mama wajawazito kutokana na umri kuwa mkubwa...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Waganga tiba asili waagizwa kujisajili
BARAZA la tiba asili na tiba mbadala limetakiwa kuhakikisha waganga wote wanaotoa huduma kwa wateja wanasajiliwa ili kuepuka udanganyifu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s72-c/2AAA-768x345.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI WAPATA MAFUNZO KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s640/2AAA-768x345.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3AA-1024x461.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya tiba asili na tiba mbadala wa wilaya ya Tunduru Mohamed Nandule akiongea na waganga wa tiba asili na tiba mbadala kutoka kata ya Mbesa wilayani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s72-c/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI/MBADALA FUATENI SHERIA-DKT. CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s640/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akiongea na waandishi wa habari
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/fdf12bf4-618a-4d2b-a4f6-0007379db1c1-1024x683.jpg)
Wanafunzi wa sekondari walioshiriki kongamano la wajasiriamali na upimaji wa afya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce204ffd-565e-449b-8019-5c2b4aefcba4-1024x683.jpg)
Watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu(hayupo pichani)
……………………………………..
Na.Catherine Sungura, Chato
Waganja wa Tiba asili na tiba mbadala wote nchini, wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata Sheria, kanuni, taratibu zilizowekwa na Serikali .
Hayo yamesemwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2bx2a0H6Spc/VPS9Sbk79BI/AAAAAAAHHNg/OpM4tZjCh8k/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI ZANZIBAR WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI WA WIZARA YA AFYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2bx2a0H6Spc/VPS9Sbk79BI/AAAAAAAHHNg/OpM4tZjCh8k/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eOUr-pszGP8/VPS9SYwLldI/AAAAAAAHHNc/2rR7-S5se-0/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yCxyzp1hEAY/XlOMos1qzrI/AAAAAAACBww/QMkj7U2pJT8VPSFCKMy-8dxzi7eI_pWjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200214_172657_945.jpg)
TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-yCxyzp1hEAY/XlOMos1qzrI/AAAAAAACBww/QMkj7U2pJT8VPSFCKMy-8dxzi7eI_pWjACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_172657_945.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zE99vUbaF3o/XlOufZLgWmI/AAAAAAALfBI/WFEhbKnScA4RvTyyjI3OSllIbDwCBcx4wCLcBGAsYHQ/s72-c/dsc_0009.jpg)
HOSPITALI YA TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAHISIWA WA KIFUA KIKUU
BAADHI ya wananchi wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,wameipongeza Serikali kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru kuanza kuwatumia waganga wa Tiba asili na tiba mbadala waliosajiliwa kuibua wagonjwa wa kifua kikuu na kutoa rufaa ya kwenda hospitali kupata matibabu.
Wananchi hao waliokutwa katika kitongoji cha Mdingula kijiji cha Namasalau wakipata tiba katika moja ya kilinge cha mganga maarufu wa tiba asili na tiba mbadala Hausi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0304-2048x1369.jpg)
RC Wangabo awataka Waganga wa tiba asili na machifu wa Mkoa kuwa mfano katika mapambano dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0304-2048x1369.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maagizo kwa Machifu na Waganga wa Tiba asili wa mkoa wa Rukwa (hawapo pichani) katika kikao kifupi alichokutana nao ili kuwaelimisha juu ya ugonjwa wa Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0341-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0336-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s72-c/c1.jpg)
LICHA YA KUAMINI MABABU NA MIIKO, MADAGASCAR INA UPEKEE WA MIMEA YA ASILI 14,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-IZVEIkS24sQ/XrD7AMLWidI/AAAAAAALpII/JrKn_TVgowcrtf8zgCXHNXOOzvy5WvbsQCLcBGAsYHQ/s640/c1.jpg)