Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM
H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.
Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.
Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.
Mmiliki wa duka lililomteua Tanzanite kuwa balozi wake, Ernest Makulilo, akilishwa keki hiyo.
Mdhamini wa shughuli hiyo ambaye ni Mkurugenzi wa The Fadhagate Sanitarium Clinic Child akilishwa keki.
Davina akiwakabidhi tuzo ya Wanandoa Bora H-Baba na mkewe Flora Mvungi.
Global Publishers
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Rapper J. Cole awa Baba
Rapper J.Cole na mkewe Melissa Heholt wamepata mtoto wao wa kwanza tangu kufunga ndoa mwaka 2016.
J. Cole ameyathibitisha haya kwenye mahojiano aliyoyafanya kwenye jarida la ‘The New York Times’la nchini Marekani ambaloi limeandika, ” J.Cole amepata mtoto na mke wake Melissa Heholt. Huyu ni mtoto wa kwanza kwa J Cole na mke wake, ila amesita kutoa jina na jinsia ya mtoto huyo.”
Hivi karibuni Cole atatoa makala yake kupitia HBO itakayoitwa ‘J. Cole: 4 Your Eyez Only’.
Tetesi zinaonyesha...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Polisi awa baba kufuatia ajali
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Aliyepandikiza mbegu kwa mkewe awa Baba
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
10 years ago
Habarileo06 Feb
Haule awa Balozi Kenya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua John Haule kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlLMs1O6BQnxdLpqul9F754T0lIbkgScwQtyCazdyoMgJAm24Md4-*DXGjnGJXVMpE0Ru6cdsQuWm0b4n5XPu66/KAJALA9.jpg?width=650)
KAJALA AWA BALOZI WA WANAWAKE BONGO
10 years ago
Habarileo22 Sep
Mmarekani awa Balozi wa Mlima Kilimanjaro
TANZANIA imempa hadhi ya Ubalozi wa Mlima Kilimanjaro, raia wa Marekani, Macon Dunnagan, baada ya kutambua mchango wake katika kuutangaza mlima huo nchini mwake.
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao
10 years ago
MichuziJUMA KASEJA AWA BALOZI MPYA WA NSSF