KAJALA AWA BALOZI WA WANAWAKE BONGO
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlLMs1O6BQnxdLpqul9F754T0lIbkgScwQtyCazdyoMgJAm24Md4-*DXGjnGJXVMpE0Ru6cdsQuWm0b4n5XPu66/KAJALA9.jpg?width=650)
Stori:IMELDA MTEMA Staa maarufu wa filamu hapa Bongo, Kajala Masanja hivi karibuni alipata shavu la nguvu baada ya kuibuka kuwa balozi wa wanawake Tanzania nzima kupitia taasisi ya Women Connect iliyopo jijini Dar. Staa maarufu wa filamu hapa Bongo, Kajala Masanja. Akizungumza na Ijumaa, mkurugenzi wa taasisi hiyo, Hafsa Semdaiya alisema wameamua kumchagua Kajala kwa kuamini ni kioo cha jamii na ni staa wa kwanza kuonesha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Feb
Haule awa Balozi Kenya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua John Haule kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya.
10 years ago
Habarileo22 Sep
Mmarekani awa Balozi wa Mlima Kilimanjaro
TANZANIA imempa hadhi ya Ubalozi wa Mlima Kilimanjaro, raia wa Marekani, Macon Dunnagan, baada ya kutambua mchango wake katika kuutangaza mlima huo nchini mwake.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sNfvKt2UIIo/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T6ZGCjfGZLhwXB14dsVN4WuOKCK1kg2s4W-NmdzDM6HAarR7j8GpjDb1AZq1U7V4i2ph*seUYh9o4dYA1RfUjx/KAJALA.gif?width=650)
KAJALA: SINA HAMU YA KUISHI BONGO
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Mtoto wa H-Baba awa balozi wa duka la EBM
H-Baba akimsaidia kukata keki ya sherehe mwanaye Tanzanite.
Tanzanite akimlisha keki baba yake H-Baba huku mama yake mzazi akishuhudia kwa karibu tukio hilo.
Muigizaji wa filamu Davina akilishwa keki na Tanzanite.
Mmiliki wa duka lililomteua Tanzanite kuwa balozi wake, Ernest Makulilo, akilishwa keki hiyo.
Mdhamini wa shughuli hiyo ambaye ni Mkurugenzi wa The Fadhagate Sanitarium Clinic Child akilishwa keki.
Davina akiwakabidhi tuzo ya Wanandoa Bora H-Baba na mkewe Flora Mvungi.
10 years ago
MichuziJUMA KASEJA AWA BALOZI MPYA WA NSSF
10 years ago
GPLWASTARA AWA BALOZI WA MEDO KATIKA KUCHANGIA ELIMU
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Barbara Kambogi wa MultiChoice Tanzania awa mkuu mpya wa Channel ya Maisha Magic Bongo!
Aliyekuwa Meneja Uhusiao wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi amepata nafasi ya juu katika kampuni ya MultiChoice na kuwa Mkuu mpya wa Channeli ya Maisha Magic Bongo.
Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari iliyotumwa leo, Barbara Kambogi amewashukuru na kuwapongeza wanahabari...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10