Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAPE NNAUYE AMVAA TUNDULISU KUFUATIA KUMKASHIFU BABA WA TAIFA

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Maji Moto kwenye uwanja wa kijiji hicho mapema jana jioni,Wilayani Mlele mkoani Katavi.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NAPE AKERWA NA KAULI ZA KUMKASHIFU JK, CCM

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Waandishi wa habari toka vyomba mbalimbali wakmsikiliza Nape Nnauye (pichani hayupo).…

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Nape Nnauye Pt II

Karibu katika sehemu hii ya pili na ya mwisho ya mahojiano yetu na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Kazungumzia mambo mbalimbali, hasa suala la uchaguzi
Karibu

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye kufutia kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo katika serikali ya awamu ya tano.
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...

 

11 years ago

Mtanzania

Warioba: Umma utamhukumu Nape Nnauye

Jaji Joseph Warioba

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba

SHABANI MATUTU NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM

KAULI iliyotolewa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwamba wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wanatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujinufaisha, ni wazi imeonekana kumkera Jaji Joseph Warioba, ambaye sasa ametamka bayana kuwa mwanasiasa huyo anasubiri kuhukumiwa na nguvu ya umma.

Jana vyombo vya habari vilimkariri Nape...

 

10 years ago

Mwananchi

Kingunge amtolea uvivu Nape Nnauye

Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru amemshukia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye kwa kauli zake alizodai zinaminya demokrasia na kwamba CCM haiwezi kusimama wanapopambana wenyewe kwa wenyewe.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape Nnauye anusurika kifo ajalini

Mgombea ubunge Jimbo la Mtama kupitia CCM, wilaya na mkoa wa Lindi, Nape Nnauye (38) amenusurika kifo, baada ya gari aliyokuwa akiendesha kuacha barabara na kupinduka, wilayani Kilwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape amvaa Pinda mgomo wa madereva

Wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati kwa ajili ya kushughulikia mgomo wa madereva uliotikisa nchi kwa siku mbili, katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema haoni mantiki ya kuunda tume kuchunguza jambo ambalo linafahamika.

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani