Yale yaleee....: Wakati Tanzania tunalia kwa udanganyifu wa umri wa Miss Tanzania,Wenzetu Uganda wanalia kwa Sura mbaya wa Mrembo wao
![](http://3.bp.blogspot.com/-MAocISyxqjs/VFCjGLxupbI/AAAAAAAGt-8/NwJ5d7-JOoQ/s72-c/IMG-20141029-WA0003.jpg)
Tasnia ya Urembo inazidi kuchukua sura mpya siku hadi siku,kwa masiku kadhaa hapa Nyumbani tumekuwa tukilalamikia udanganyifu wa Umri wa Mrembo wa Tanzania 2014,Sitti Abbas Mtemvu kwamba umri wake wa halali haukustahili kumfanya awe Malkia wa taji hilo na hivyo anapaswa kuvuliwa taji hilo,lakini imekuwa ni tofauti kwa ndugu zetu wa nchi ya Uganda kwani wao kilio chao ni kwamba Mrembo alietwaa taji la Miss Uganda 2014,Leah Kalanguka ni mbaya na hana mvuto na hivyo hawezi kuiwakilisha vyema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XvbXKVEjimI/VFFxGDy7iwI/AAAAAAAAQvg/pKSBdd8kXU4/s72-c/ug2.jpg)
MISS UGANDA AMEKERWA KWA COMMENT MBAYA KWENYE MITANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XvbXKVEjimI/VFFxGDy7iwI/AAAAAAAAQvg/pKSBdd8kXU4/s1600/ug2.jpg)
Kufuatia mrembo huyu kukosolewa sana mtandaoni, watu maarufu pia kama Bobi Wine na Anne Kansiime wamemtetea mrembo huyu na kutaka watu kuacha kumkosoa mrembo huyu bila kufahamu ni kwa namna gani...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq4lzs9ghSs/U-TInuDlO7I/AAAAAAAF96A/99zIjIxmoOw/s72-c/unnamed.png)
MGOGORO WA ZIWA NYASA: WAKATI WENZETU MALAWI WAKIPAMBANA KWA TEKNOHAMA SISI WATANZANIA BADO TUNAPAMBANA KWA MANENO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq4lzs9ghSs/U-TInuDlO7I/AAAAAAAF96A/99zIjIxmoOw/s1600/unnamed.png)
Google Map ni mtandao mkubwa ambo unaonyesha Ramani ya dunia nzima kwa kutumia picha ya satellite na watu wengi hususani watalii hutumia mtandao huu kabla ya kwenda mahali husika . Lakini mtandao huu huitaji watu kujaza taarifa zaidi kama kuonyesha mipaka ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-grp1_3ftqkM/U97KuT1n5qI/AAAAAAAF8v0/9y-vDxM2VM0/s72-c/unnamed+(26).jpg)
YALE YALEEE....
![](http://1.bp.blogspot.com/-grp1_3ftqkM/U97KuT1n5qI/AAAAAAAF8v0/9y-vDxM2VM0/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjM9diR1qGw/U97KumFM1iI/AAAAAAAF8v4/jSAeQKHSZKI/s1600/unnamed+(27).jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png?width=640)
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania
Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
Umri wamvua Miss Tanzania taji
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Umri wa Miss Tanzania wazua mjadala
10 years ago
MichuziLundenga alizungumzia sakata la umri wa Miss Tanzania 2014
Picha zaidi na kilichojili vitawajia muda si mrefu
10 years ago
Mwananchi25 Oct
MAONI: Uchunguzi ufanyike utata wa umri wa Miss Tanzania