Umri wamvua Miss Tanzania taji
Miss Tanzania Sitti Mtemvu amejivua taji la Miss Tanzania aliloshinda mwaka huu kutokana kushambuliwa kuhusu umri wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboAEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Umri wa Miss Tanzania wazua mjadala
Baada ya Bi Sitti kutwaa taji hilo kumeibuka utata juu ya umri wa Miss Tanzania 2014. Kwa nini umri wa Miss Tanzania uzeu hoja?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlQix8gYlXT*181j-yqQkKAHdGTfSIqi1-f72rOWR-ppDQ5ET9ND8gslO24mjCQqkZtCL-2Xkz2FrOye8ZHhyQc7/breakingnews.gif)
SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu katika pozi na mshindi wa pili, Lillian Kamazima (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Jihhan Dimachk baada ya kutangazwa mshindi. MREMBO Sitti Mtemvu kutoka Temeke ametwaa taji la Miss Tanzania 2014 na kujinyakulia kitita cha milioni 18 usiku huu katika…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrQSv8I2weOw-sIRAgZmBmZYwd8-HA8YCk-W0VXvEiRdWl4PgJn1WY0v*b8AHpg2ydxWt0Y3fehZnToQ*LArB3U/1.jpg)
SITTI MTEMVU AVISHWA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
Washiriki 30 wa kinyanganyiro cha kumsaka Miss Tanzania wakijitambulisha kwa shoo. Warembo wakipita na vazi la ufukweni. Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kushoto), akiwa na katibu wa kamati hiyo, Bosco Majaliwa.…
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Sitti Mtemvu avua taji Redd’s Miss Tanzania
REDD’S Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ameamua kuvua taji la Redds Miss Tanzania alilovikwa usiku wa Oktoba 11 mwaka huu katika Ukumbi wa Mliamani City, jijini Dar es Salaam. Katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MISS TANZANIA 2014, SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI
Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu katika pozi na mshindi wa pili, Lillian Kamazima (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Jihhan Dimachk. Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amejivua taji hilo leo, mshindi wa pili, Lillian Kamazima amrithi, Lundenga athibitisha. Habari kamili kuwajia…
10 years ago
GPL13 Oct
SITTI MTEMVU ALIVYOTWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
MREMBO Sitti Mtemvu aliyekuwa Miss Temeke 2014, Oktoba 11, 2014 aliibuka kidedea katika fainali za shindano la Miss Tanzania 2014 na kujinyakulia taji hilo sambamba na shilingi milioni 18. Katika shindano hilo lililofanyika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, nafasi ya pili ilikwenda kwa Lilian Kamazima ambaye alijishindia shilingi milioni 6 huku nafasi ya tatu ikichukuliwa na Jihan Dimachk. Dorice Mollel alishika nafasi ya nne...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-U38xT6Q8dJ0/VF5xcfYzfPI/AAAAAAADMnI/ECXDdMv2dys/s72-c/Sitti-Mtevu.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania