Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALE YALEEE....

Basi la kamwana express likilipita lori kwa mwendo kasi karibu na eneo la Chalinze mkoani Pwani huku dereva huyo akijua sheria za bararani kuwa ni marufuku kulipita gari nyingine akijua wazikuwa mbele kunagari inakuja hatua ambayo inasababisha usalama wa abiria na raia kwa ujumla. Picha na Benjamin Sawe Wizara ya Habari.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Yale yaleee....: Wakati Tanzania tunalia kwa udanganyifu wa umri wa Miss Tanzania,Wenzetu Uganda wanalia kwa Sura mbaya wa Mrembo wao

Tasnia ya Urembo inazidi kuchukua sura mpya siku hadi siku,kwa masiku kadhaa hapa Nyumbani tumekuwa tukilalamikia udanganyifu wa Umri wa Mrembo wa Tanzania 2014,Sitti Abbas Mtemvu kwamba umri wake wa halali haukustahili kumfanya awe Malkia wa taji hilo na hivyo anapaswa kuvuliwa taji hilo,lakini imekuwa ni tofauti kwa ndugu zetu wa nchi ya Uganda kwani wao kilio chao ni kwamba Mrembo alietwaa taji la Miss Uganda 2014,Leah Kalanguka ni mbaya na hana mvuto na hivyo hawezi kuiwakilisha vyema...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

YALE YALE: WAZIRI MAGUFULI ANAPOTAFUTWA UBAYA....

Semi-Trela likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea  kwa uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani  wa tani 7 tu au ni kiburi tu.  Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli ...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yale yale, Zanzibar wafanya fujo

Nairobi.Ndoto ya Kilimanjaro Stars kumaliza katika nafasi ya tatu iliyayuka baada ya kufungwa kwa penalti 6-5 na Zambia, huku wachezaji wa Zanzibar wakifanya fujo kambini.

 

10 years ago

Michuzi

yale yale..... Usalama barabarani

Kaka Michuzi hii nimekutana nayo barabara ya Bagamoyo Road leo hii! Ni utaratibu na tabia mbaya kwa madereva na raia tunaotumia vyombo vya usafiri....ni hatari kwa usalama wetu! Tuwakemee

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mambo yale yale bungeni

BUNGE Maalumu la Katiba jana limeendelea na mjadala wake baada ya kutoka katika mapumziko ya Sikukuu ya Pasaka, huku wajumbe wa CCM wakitumia muda mwingi kuwajadili wenzao wa Umoja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani