BI MWENDA: MAIMARTHA AKINIRUHUSU, NAOLEWA

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kwamba ataolewa endapo somo wake ambaye ni mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse atamruhusu. Mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’. Akistorisha na paparazi wetu, Bi Mwenda alisema ruhusa ya yeye kuolewa tena atatoa Maimartha kwani ndiye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies24 Aug
Nora: Naolewa, Nikiachika Tena…!
MUIGIZAJI wa muda mrefu katika tasnia ya filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ yuko katika siku za mwisho za kuhitimisha harakati za kufunga ndoa, huku akijiapiza kuwa, endapo ataachika tena, basi atakuwa na nuksi.
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, mmoja wa marafiki wa muda mrefu na Nora, ambaye pia ni msanii wa filamu (jina lipo kwenye droo zetu), alisema kwa sasa Nora yuko ‘bize’ kuhakikisha mambo na mipango ya harusi yake na mwanaume ambaye alitajwa kwa jina moja la Omary inakwenda...
10 years ago
GPLNORA: NAOLEWA, NIKIACHIKA TENA…!
10 years ago
GPL
MAIMARTHA AMUUMBUA SAJENT
11 years ago
GPL
MATEJA WAMUAMISHA MAIMARTHA
11 years ago
GPL
MAIMARTHA ATIWA MBARONI
11 years ago
GPL
MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU
10 years ago
GPL
MAIMARTHA ACHOMOLEA SIASA
11 years ago
GPL
BI. MWENDA AFUNIKA KUCHEZA MUZIKI
10 years ago
GPL
WEMA AMRUDISHA UJANA BI. MWENDA