DAVINA AIPA LIKIZO NDOA YAKE
![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgYthF9anNTihHnjqkZ57Gid55ErAKMqVXqYrsWMc3qFY8yg-5GKFme3PRRXgJabVN3*dtrglKmlE7o6PVCJ1jv4/davinacopy.jpg?width=650)
imelda mtema Mapumziko! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amefunguka kuwa baadhi ya watu wanafikiria hatarudi kwenye ndoa yake lakini kwa upande wake anaamini kuwa anakula likizo fupi kisha atarejea kuendelea na maisha ya ndoa. Halima Yahya ‘Davina’ Hivi karibuni, Davina aligombana na mumewe aliyehisi anaibiwa ‘mali’ zake na mwigizaji Mike Sangu. Akizungumza na Ijumaa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfANdexowJDVrh6T2uoW7LIvIkuZQNshYIKWikEt6qVTnlz1FxNQKF1ns46jPHX1UAjO2U21oPc0QqW9q03liwU1/Davina.jpg)
NIKIACHIKA, NDOA TENA BASI- DAVINA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo7Uujad0KR0EHKV9vE9fYveZCMEdtBU*IxMQ0aTHmWttrhuMSKJCXGTGQVsBouDsgAku50uADy1U0OCUEaPa99H/rttr6567.gif?width=650)
MIKE SANGU AIPASUA NDOA YA DAVINA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpTp*WeG3jgRIie6DvY4KUtRFcJx-Na9mO1GT1HMZUJTX7BjUVJwCd-itK2T4Nn5PJ-Wvudi8jGo-F3YiqdLqEN/maya.jpg)
MAYA APATA KIGUGUMIZI NDOA YAKE
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Minaj afanya maandalizi ya ndoa yake
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, ameweka wazi sehemu ambayo atafunga ndoa na mpenzi wake Meek Mill, mwaka 2016.
Wasanii hao wamekuwa kwenye uhusiano kwa mwaka mmoja sasa, hivyo wanatarajia kufunga ndoa mwakani huku Minaj tayari akiweka wazi sehemu sahihi ambayo wataifungia ndoa hiyo.
“Mwaka 2016 ninatarajia kufunga ndoa na Meek Mill, ninaona sehemu sahihi ya kufungia ndoa hiyo ni kanisani au ufukweni.
“Sehemu zote mbili ziko tayari lakini muda ukifika...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE