Mike Sangu Afungukia Mdai ya Kutoka na Davina
Staa wa Bongo Movies, Michael Sangu ‘Mike’ amekanusha na kuruka kimanga baada ya taarifa kuvuma kuwa anatoka na mwigizaji wa kike Halima Yahaya ‘Davina’ na kusababisha uhusiano wa mwanadada huyo na familia yake kuvurugika, Mike anasema kuwa anamheshimu msanii huyo na kitu kipekee kinachowafanya wawe pamoja ni kazi tu.
Nimeulizwa sana na waandishi wengi kuhusu matatizo ya Davina lakini ukweli ni kwamba sina mahusiano naye zaidi ya kazi ambayo inatukutanisha na mimi nikiwa kama kiongozi wake...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo7Uujad0KR0EHKV9vE9fYveZCMEdtBU*IxMQ0aTHmWttrhuMSKJCXGTGQVsBouDsgAku50uADy1U0OCUEaPa99H/rttr6567.gif?width=650)
MIKE SANGU AIPASUA NDOA YA DAVINA
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
NAPE ANASTAHILI- MIKE SANGU
NAPE ANASTAHILI- MIKE SANGU
MWIGIZAJI wa kiume katika tasnia ya filamu Michael Sangu ‘Mike’ amefunguka kwa kuwashangaa watu wanaoponda uteuzi wa waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na michezo Mh. Nape Nnauye kwa kusema kuwa hawamjui vizuri wanatakiwa wafahamu ni mtu makini na anastahili.
Huwezi kuponda tu kwa sababu zako binafsi mimi ninamfahamu kiongozi Nape ni mtu makini na ana uwezo mkubwa sana katika masuala ya uongozi nawashangaa wanaoponda uteuzi wake bila kutambua uwezo wake,”anasema...
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Mchuano Mkali TDFAA 2015, Jimmy Mafufu, Mike Sangu, David , Dile , Salum Chilwa
MCHUANO mkali katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama cha waigizaji Taifa (TDFAA) huku wasanii wenye ushawishi kwa wasanii wenzao wakijitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo anasema katibu Twiza.
![Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/Jimmy-Mafufu.jpg)
Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .
“Mchuano ni mkali kila mhusika amepanga kuwa ni mshindi katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti Kitaifa kwa chama cha Waigizaji, hadi sasa ni zaidi ya wasanii wane...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/qsadWY-0AmQ*UWjbsfTIG6jBQNK7r0jIR*xYejxFoEqR8xgcH4OOVRIccLUizIWZOvdS6fBnOUkRJX*wlQwY5iF-cHFJ*2J6/mike1.jpg?width=550)
MIKE ADAIWA KUMNASA DAVINA
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
10 years ago
Habarileo12 Jan
Amuua mdai wake kwa kukerwa kudaiwa Sh 80,000
MWANAMKE Caseline Mzee (75) mkazi wa kijiji cha Guta wilayani Bunda, mkoani Mara, ameuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani na kunyongwa na kisha mwili wake kutupwa ndani ya mto, ukiwa umefungiwa mawe mazito ili usielee.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VjECVNtIx4eqqJukk8*1GplaW8dSNk*Yhi7*QdZW6hLSZ1QfANr2X6bvAGldwxKERHtqrjH8IkiU4VcTjqQDgz9/Dbanj1.jpg?width=650)
KESI YA KUDAIWA DENI: D’BANJ AKACHA MAHAKAMA, MDAI NAYE HAKUFIKA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
JK ahudhuria ibada ya kusimikwa askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhMVOQmyYHgHkCdhGwRJ*fB3up4khdGclLX4BjMCzDbyQLFSIQERIAm6vq6wpzE9ZCT7g7OyUF28eDHnEHQkQ6IA/thea.jpg?width=650)
THEA, MIKE WARUDIANA