Baraza Wete lapata dola 800,000
BARAZA la Mji la Wete limepokea msaada wa dola 800,000 kutoka Benki ya Dunia kupitia Wizara ya Fedha Zanzibar kwa ajili ya uboreshaji wa soko la Wete. Akizungumza na Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Hizi dola 1,000,000 ni za nani?
11 years ago
Habarileo09 Sep
Baraza la Wazee Chadema lapata Mwenyekiti mpya
SAFU mpya ya Baraza la Wazee Taifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imetangazwa ambayo Mwenyekiti wake ni mkazi wa Zanzibar, Hashim Juma Issa.
9 years ago
StarTV17 Dec
Taifa lapata dola za kimarekani mil. 500 kwa mwaka kilimo cha Mbogamboga, Matunda, Maua
Sekta ya kilimo cha mbogamboga matunda na maua nchini kimekuwa na mchango mkubwa katika ukuzaji maendeleo kwa kuliingizia taifa kiasi cha dola za kimarekani milioni mia tano kwa mwaka.
Ukuaji wa sekta hiyo umekuwa ni chachu ya kuvutia wawekezaji katika sekta nyingine za maendeleo hapa nchini.
Katika uzinduzi wa jarida litakalohusika kusambaza habari zihusuzo kilimo cha mbogamboga, maua na matunda uzinduzi uliofanyika jijini Arusha kwa kuwakutanisha wadau wa kilimo kutoka ndani na nje ya...
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Utanipenda ya Diamond yatazamwa na watu zaidi ya 800,000
Video mpya ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz imetazamwa na watu zaidi ya laki nane na tisini kwa muda wa wiki moja tangu itoke Desemba 11, mwaka huu.
Mkali huyo wa Bongo Fleva anatarajia kuangusha bonge moja la shoo ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar siku ya Krismasi, keshokutwa.
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz.
Akizungumzia maandalizi ya shoo hiyo, Diamond alisema itakuwa ya tofauti. Kila atakayelipia fedha yake ( kawaida shilingi 15,000 na V.I.P...
10 years ago
GPL
BARAZA LA WATOTO WENYE ULEMAVU TAIFA LAPATA VIONGOZI, WAKUTANA NA WABUNGE DODOMA!
9 years ago
MichuziLAPF YATOA MSAADA WENYE THAMANI YA TSH 2,800,000/= KWA KITUO CHA AFYA MAKOLE DODOMA
Msaada huo umelenga kuboresha huduma kwa wagonjwa wanaolazwa kituoni hapo wengi wao wakiwa ni kina mama wajawazito na watoto. LAPF inaunga mkono jitihada za Serikali katika kuboresha huduma za Afya nchini.
Kadhalika ...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Linah akumbuka Dola 47,000 za Ole Themba
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Nywele ya Lincoln yauzwa kwa dola 25,000
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Sanamu ya paka yauzwa kwa dola 80,000