Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri zaaswa kutumia mashine za kielektroniki

Rajab Mohamed MbaroukKAMATI ya Bunge ya Serikali za Mitaa imezishauri halmashauri zote nchini kutumia mashine za kielektroniki (EFDs), zitolewazo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa risiti za kupokea fedha kudhibiti tatizo la upotevu wa vitabu vya risiti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NHC yanyang’anya mashine za kufyatulia matofari baada ya Halmashauri za Mikoa kushindwa kutumia fursa hiyo

NHC imeendelea kuwakagua vijana waliopewa msaada wa mashine za kufyatulia matofali yatakayowezesha wananchi kujijengea nyumba za gharama nafuu katika Halmashauri zote za Mikoa ya Katavi, Mbeya na kukamilika Mkoani Iringa. 

Kwa ujumla, vijana wana ari ya kutosha ingawa wana changamoto zinazohitaji msukumo wa Halmashauri zao, hasa za masoko ya matofali yao pamoja na mtaji wa kuwawezesha kuendelea na uzalishaji wa benki ya matofali ya kuuzia wananchi. 

Katika ziara ya NHC Wakurugenzi Watendaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NHC YANYANGANYA MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFARI BAADA YA HALMASHAURI ZA MIKOA BAADA YA KUSHINDWA KUTUMIA FURSA HIYO

New Picture (1)  Kikundi cha ‘Mshikamano’ katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje kikimsikiliza Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC BW. Muungano Saguya akiwaelezea namna ya kukuza ujuzi na kutumia Halmashauri zao kuongeza ufanisi wa kazi alipowatembelea nakusaidia kuondoa changamoto zinazowakabili. Vijana hao wameshapewe eneo la muda la kuendesheea shughuli zao na wameanza kutengeneza tofali kwa ajili ya kuwauzia wanmanchi.New Picture (2)Hii ndiyo hali iliyojitokeza Mkoani Katavi katika Halmashauri ya Mji wa Mpanda pale NHC...

 

9 years ago

StarTV

  Watanzania, taasisi zaaswa kutumia vyama vya ushirika kuimarisha uschumi endelevu

 

Watanzania na taasisi mbalimbali nchini zimeaswa kujenga uchumi imara na endelevu kupitia vyama vya ushirika.

Sera zilizopo hivi sasa nchini zinadaiwa kushindwa kumkomboa mwananchi kiuchumi kutokana na kutozingatia misingi na kanuni za vyama vya ushirika.

Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizokuwa na ushirika imara lakini kwa sasa ushirika huo unaonekana kudorora kutokana na takwimu zinazoonyesha idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika kutoridhisha.

Ufumbuzi wa tatizo hilo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)

SAM_1155

 

Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.

SAM_1160

Baadhi ya Waandishi wa...

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amekabidhi vifaa vya Tehama kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga, Bi. Saada Mwaruka kwa ajili ya utoaji wa Leseni za Biashara kielektroniki katika Halmashauri hiyo.
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri zatakiwa kununua mashine za matofali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amezitaka halmashauri zote nchini kutenga fedha za kununua mashine za matofali yanayofungana (Tanzania Interlocking Bricks Machine), kwa ajili ya kupunguza tatizo la ajira katika halmashauri zao....

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda aagiza halmashauri kununua mashine

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameziagiza halmashauri za miji kuhakikisha kuwa zinatenga Sh4.5 milioni kila mwaka kwa ajili ya ununuzi wa mashine 10 kwa ajili ya kufyatulia matofali ya gharama nafuu.

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD

Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi:Tanzania kutumia Mashine za BVR

Tanzania kuendelea kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration - BVR

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani