MGONJWA MWINGINE WA CORONA AONGEZEKA, NI DEREVA WA LORI, SASA WAFIKIA 13
![](https://1.bp.blogspot.com/-suR8NRAHayw/Xnx0TBbVzxI/AAAAAAALlEw/9FfjFDEluJ4-OITirP1nzjGT5gTolnP9gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.18.47%2BPM.jpeg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, alipokua akitangaza mgonjwa mpya wa ugonjwa wa Corona nchini. Kulia ni Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid.
Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamad Rashid akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo katika mkutano wa pamoja na Waziri Ummy kuhusiana na idadi mpya ya wagonjwa wa Corona.
Charles James, Globu ya JamiiIDADI ya wagonjwa wenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hI42iichCtE/XooEkbC7tzI/AAAAAAALmHw/UO3qF5BhAW0DV58Xft-xWYWWHmzRSnV-ACLcBGAsYHQ/s72-c/HAMADI%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani
11 years ago
Habarileo07 Mar
Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
11 years ago
Habarileo24 Jan
Taqwa lagongana na lori, dereva afa
DEREVA wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhi baada ya gari alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi kugongana na lori katika kitongoji cha Ngonho, Kata ya Miguwa wilayani hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMEFP--Tvw-ohKZgI3umtPQcDDiH1AWhfNxjFRpC8YgKAW*VPC324Jvw8dWFVlcchRFQG31zXFf9cwz3WcxjB40/IMG20140909WA0003.jpg)
AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA
10 years ago
Mwananchi03 Apr
Dereva wa lori lililoua 50 Mafinga afungiwa leseni
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA MIKESE ILIYOUA DEREVA WA LORI LA MAFUTA
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: 'Kila anayekufa sio mgonjwa wa corona' asema Magufuli