Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nagasaki yakumbuka bomu iliyoua watu elfu 70

Ibada maalumu za ukumbusho zinaendelea katika mji wa Nagasaki,Japan, kuadhimisha miaka 70 tangu bomu ya atomiki kuua watu elfu 70 mjini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Picha za bomu la nyuklia Nagasaki Japan

Huku ulimwengu ukiadhimisha miaka 70 tangu ndege za kijeshi za Marekani ilipodondosha bomu la kinyuklia juu ya Nagasaki tazama picha za janga hilo

 

10 years ago

Habarileo

Ajali iliyoua watu 50 yapeleka msiba UDSM

Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala.WANAFUNZI watano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ni miongoni mwa watu 50 waliokufa katika ajali ya basi la Majinja, lililogongana na lori katika eneo la Changarawe Mafinga mkoani Iringa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Picha za ajali iliyoua zaidi ya watu 140

Indonesia inasema kuwa idadi ya watu waliofariki huko Medan katika ajali ya ndege ya kijeshi imepanda na kufikia watu 141.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI ILIYOUA WATU 12 JIJINI ARUSHA

Gari aina ya Toyota Hiace likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali hiyo iliyotokea eneo la Makumira wilayani Arumeru jana.…

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya moto iliyoua watu sita Kipunguni yaibua mapya

>Waombolezaji kwenye msiba uliotokana na ajali ya moto ulioteketeza watu sita wa familia moja, wamelaumu Kikosi cha Zimamoto cha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kushindwa kufika kwa wakati eneo la tukio.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA BASI LA SUMRY ILIYOUA WATU 19 WAKIWEMO ASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI

Basi la kampuni ya Sumry lenye namba za usajili, T 799 BET lililouwa watu 18 mkoani Singida. Gari la polisi likiwa limepakia maiti zaidi ya kumi zikipelekwa hospitali ya mkoa wa Singida kwa ajili ya kuhifadhiwa na kutambuliwa.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 76 elfu wauawa nchini Syria 2014

Watu 76 elfu wameuawa katika mgogoro wa Syria katika mwaka 2014 pekee.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya

Serikali ya Kenya imesema kwa sasa inawashikilia zaidi ya watu elfu nne kufuatia operesheni usalama mjini Nairobi

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.

MAIN SHOW 31ST-2893 (800x533)

“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.

“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”

Jionee picha zaidi.

MAIN SHOW 31ST-3441 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2899 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2912 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2960 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2968 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3155 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3256 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3277 (800x533)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani