Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jokate:Kuna Mtu Namtamani Sana Kimapenzi na Ninamvutia Kasi Nimpate

Staa  mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva ambaye pia  mwanamitindo na mjasiliamali  Jokate Mwegelo 'jojo' au Kidoti amefunguka kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi na anamvutia kasi kumpata

Akizungumza  kwenye show weekend “the playlist”  ndani ya studio za Times FM, Kidoti, alisanuka hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye hit single yake “Leo leo” na Ice Prince

“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

JOKATE: SIJAONA WA KUMWAMINI KIMAPENZI

Brighton Masalu LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.....Soma zaidi====>http://goo.gl/tNbHBG

 

9 years ago

Bongo Movies

Jokate: Sijaona wa Kumwamini Kimapenzi

LICHA ya kuzagaa kwa tetesi juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwanamitindo Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kutokana na kuumizwa na mapenzi mara kwa mara, kwa sasa hajaona mwanaume wa kumuamini hivyo anaelekeza nguvu na akili zake kwenye kazi.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Jokate alisema ni ngumu kwa watu kuamini kuwa amekuwa akiumizwa na mapenzi mara kwa mara, kutokana na muonekano wa urembo alionao, lakini ukweli unabaki kuwa, anaumizwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

USWAHILI KUNA RAHA SANA

Kwa wale tuliokulia kitaa hii tuna miss sana jikumbushe na wewe kipindi hicho ulikuwa wapi 

 

9 years ago

Bongo5

Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate Afunguka “Hasheem Thabit Ana Vitu Amazing, Diamond Sikuenjoy Sana....”

Mrembo na Staa wa Bongo Movie Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi Bongo .

Akizungumza na Gazeti la Kiu hivi karibuni, Kidoti amesema kwa sababu ambazo amezihifadhi moyoni mwake Hasheem alikuwa na vitu adimu sana ambavyo hawezi kuvitaja.

Kuhusu Diamond ambae pia amewahi kutoka nae, Kidoti amesema hakuenjoy nae kwani yalikuwa mapenzi ya muda mchache sana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Djokovic:''Kuna mtu anavuta bangi ''

Mchezaji nambari moja duniani kwa upande wa Tenisi Novak Djokovic alilalama kwa msimamizi wa mchezo huo kwamba alikuwa akinusa harufu ya bangi katika ukumbi wa mechi ya kombe la Rodgers aliomshinda Jemery Chardy.

 

10 years ago

Dewji Blog

LAPF mfuko unaokua kwa kasi sana

1

Meneja wa Takwimu,Tathmini na Hadhari toka Mfuko wa Pensheni wa LAPF Bw.Aboubakar Ndwata akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali unaofanywa na mfuko huo ukiwemo wa jengo linalokadiriwa kuwa refu zaidi jijini Dar es salaam lenye urefu wa gorofa 30 ambalo limejengwa Kijitonyama jijini Dar es salaam likiwa na thamani ya Shilingi bilioni 58, kulia ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko huo Bw.James Mlowe na kushoto ni meneja Matekelezo...

 

10 years ago

Bongo5

Cpwaa: Kuna umuhimu wa kurudisha ile original Bongo Fleva, watu wanaigana sana

Mfalme wa Bongo Crunk, Cpwaa amesema kuwa mwezi ujao anategemea kuachia wimbo mpya ambao utakua na ladha ya Bongo Fleva ambayo anadai wasanii wengi wameitelekeza kutokana na kuiga muziki wa Nigeria. “Cpwaa bado anafanya muziki, Cpwaa bado ni king wa bongo crunk,na safari hii nikija nakuja kuwapa kile kitu watu ambacho wamekimiss.” Cpwaa ameiambia Bongo5. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani