Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Djokovic:''Kuna mtu anavuta bangi ''

Mchezaji nambari moja duniani kwa upande wa Tenisi Novak Djokovic alilalama kwa msimamizi wa mchezo huo kwamba alikuwa akinusa harufu ya bangi katika ukumbi wa mechi ya kombe la Rodgers aliomshinda Jemery Chardy.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

FAMILIA KUFA AJALINI ‘KUNA MKONO WA MTU!'

Stori: Na mwandishi wetu BADO ni kilio! Bado ni simanzi katika Kijiji cha Marangu, Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro kufuatia vifo vya wanafamilia watatu, Elimringi Minja, 60 (baba), Tudetsiwe Sanga, 48 (mke) na mtoto wao, Haikaeli John (10).
Watatu hao maisha yao yalikatishwa kwenye ajali ya Basi la Metro iliyotokea Septemba 15, mwaka huu katika eneo la Manga, Handeni mkoani Tanga na hivyo kuiacha nyumba yao katika ukimya wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate:Kuna Mtu Namtamani Sana Kimapenzi na Ninamvutia Kasi Nimpate

Staa  mrembo wa Bongo Movies na Bongo Fleva ambaye pia  mwanamitindo na mjasiliamali  Jokate Mwegelo 'jojo' au Kidoti amefunguka kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi na anamvutia kasi kumpata

Akizungumza  kwenye show weekend “the playlist”  ndani ya studio za Times FM, Kidoti, alisanuka hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye hit single yake “Leo leo” na Ice Prince

“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema...

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Federer ,Djokovic wasonga mbele

Nyota wa tenesi Roger Federer ameendeleza ushindi kwa asilimia mia katika mashindano ya wanaume ya tenesi ya dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis

Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic aendelea kung'ara

Novak Djokovic ameendelea kuongeza mataji ya mchezo huo na sasa yamefikia saba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Djokovic amzima Federer Wimbledon

Novack Djokovic alimbwaga Roger Federer na kutwaa ubingwa wa Wimbledon.

 

9 years ago

BBCSwahili

Djokovic: Lazima nijishindie mashabiki

Djokovic amesema lazima ajishindie uungwaji mkono wa mashabiki baada yake kuzomewa kwenye fainali ya US Open.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani