Tumepata feedback ‘Game’ inafanya vizuri sana kwenye nchi nyingi Afrika — Nahreel
Producer na msanii wa Navy Kenzo, Nahreel amekiri kuwa ngoma yao ‘Game’ ndio imefungua njia waliyohangaika kuitafuta kwa muda mrefu. Ndani ya mwezi mmoja toka waiachie, ‘Game’ imeweza kukamata chati mbalimbali za Radio na Tv sehemu nyingi Afrika. Imeshika namba moja kwenye chati za vituo hivyo ikiwa ni pamoja na Top Ten East ya Soundcity […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gk9Wrk95T1g/XllMLY8ky6I/AAAAAAALf-M/8Yo11iyYujcaOsa2QWzXhiFxgweyhkmOACLcBGAsYHQ/s72-c/69151129_100882537910288_5094833120814894197_n.jpg)
TANZANIA INAFANYA VIZURI KWENYE KUPUNGUZA TB KWA ASILIMIA 75
Na. Catherine Sungura-Dodoma.
Tanzania ni moja ya nchi mbili afrika zinazofanya vizuri katika kupunguza maambukizi,kutibu pamoja na kupona ugonjwa wa kifua kikuu “TB” na hivyo kufikia asilimia 75 ya malengo yaliyowekwa.
Hayo yameelezwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu Afya Dkt. Zainabu Chaula wakati wa mkutano wa kupokea ripoti ya tathimini ya mapitio ya mpango mkakati wa kifua na ukoma uliofanyika jijini hapa.
“Shirika la Afya Duniani...
9 years ago
Bongo507 Oct
Ushirikiano wa ma-producer wa Tanzania upo kwa asilimia ndogo sana — Nahreel
9 years ago
Bongo516 Sep
Nahreel azungumzia madai ya wimbo wa Game kufanana na wimbo wa Patoranking ‘Girlie O’
10 years ago
Bongo Movies28 May
Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul
Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.
Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...
9 years ago
Bongo518 Nov
Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.
“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...
9 years ago
Bongo516 Sep
Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WUmgOd_zFgc/VUtSk2zDkKI/AAAAAAAHV6E/ASSGCEz5U84/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Membe aongoza Mawaziri wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye mazungumzo nchini Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-WUmgOd_zFgc/VUtSk2zDkKI/AAAAAAAHV6E/ASSGCEz5U84/s640/unnamed%2B(82).jpg)
9 years ago
Bongo523 Oct
The CEO: Filamu inayofanyika kwenye nchi zaidi ya tano Afrika, bajeti yake ni dola milioni 1
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3I0EAUfI-rA/VUy3WFAXmhI/AAAAAAAHWSM/vzjCOiARcUA/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Waziri Nagu amwakilisha Rais Kikwete kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Asia na Afrika, Jakarta,Indonesia
![](http://1.bp.blogspot.com/-3I0EAUfI-rA/VUy3WFAXmhI/AAAAAAAHWSM/vzjCOiARcUA/s640/unnamed%2B(28).jpg)