Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumepata feedback ‘Game’ inafanya vizuri sana kwenye nchi nyingi Afrika — Nahreel

Producer na msanii wa Navy Kenzo, Nahreel amekiri kuwa ngoma yao ‘Game’ ndio imefungua njia waliyohangaika kuitafuta kwa muda mrefu. Ndani ya mwezi mmoja toka waiachie, ‘Game’ imeweza kukamata chati mbalimbali za Radio na Tv sehemu nyingi Afrika. Imeshika namba moja kwenye chati za vituo hivyo ikiwa ni pamoja na Top Ten East ya Soundcity […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TANZANIA INAFANYA VIZURI KWENYE KUPUNGUZA TB KWA ASILIMIA 75


Na. Catherine Sungura-Dodoma.
Tanzania ni moja ya nchi mbili afrika zinazofanya vizuri katika kupunguza maambukizi,kutibu pamoja na kupona ugonjwa wa kifua kikuu “TB” na hivyo kufikia asilimia 75 ya malengo yaliyowekwa.
Hayo yameelezwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu Afya Dkt. Zainabu Chaula wakati wa mkutano wa kupokea ripoti ya tathimini ya mapitio ya mpango mkakati wa kifua na ukoma uliofanyika jijini hapa.
“Shirika la Afya Duniani...

 

9 years ago

Bongo5

Ushirikiano wa ma-producer wa Tanzania upo kwa asilimia ndogo sana — Nahreel

Ili muziki wa Tanzania ukue na uende mbali inahitajika nguvu ya pamoja upande wa wasanii na hata watayarishaji wa muziki. Producer Nahreel wa The Industry amesema kuwa upande wa watayarishaji wa muziki ushirikiano uliopo ni mdogo sana. “Ushirikiano wa maproducer wa Tanzania kufanya kazi pamoja haupo kwa asilimia kubwa ni maproducer wachache sana ambao wanakuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel azungumzia madai ya wimbo wa Game kufanana na wimbo wa Patoranking ‘Girlie O’

Mtayarishaji wa muziki na msanii, Nahreel amezungumzia madai ya kufanana kwa wimbo wa kundi lake Navy Kenzo, ‘Game’ pamoja wimbo wa ‘Girlie O’ wa msanii wa Nigeria, Patoranking. Nahreel ameiambia 255 kwenye kipindi cha XXL kupitia Clouds FM kuwa kabla wimbo huo haujatoka Patoranking aliusikia na kuusifia. “Kiukweli cha kwanza kabla Game haijatoka Patoranking yeye […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Nimeshatoa mimba nyingi sana-Irene Paul

Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.

Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

 

9 years ago

Bongo5

Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai

Rapper Jaffarai anaamini kuwa soko la muziki la Tanzania halijakitendea haki kipaji chake ambacho thamani yake kama angekuwa amezaliwa nchini Marekani, Nigeria au Afrika Kusini ambako muziki uko juu basi angekuwa tajiri. “Kitu kikubwa kinachonigharimu ni kuzaliwa Tanzania na huu muziki wangu but kama ingekuwa nimezaliwa Marekani, South Africa, Nigeria au kwa nchi ambayo muziki […]

 

10 years ago

Michuzi

Membe aongoza Mawaziri wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye mazungumzo nchini Burundi

Mhe. Pierre Nkurunziza, Rais wa Jamhuri ya Burundi akiwa kwenye mazungumzo na Ujumbe ulioongozwa na  Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania. Mawaziri wengine katika picha ni Mhe. Louise Mushikiwabo (kulia kwa Waziri Membe), Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda na Mhe. Amina Mohamed (mwenye skafu nyekundu), Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Mhe. Bernard K. Membe jana aliongoza Jopo la...

 

9 years ago

Bongo5

The CEO: Filamu inayofanyika kwenye nchi zaidi ya tano Afrika, bajeti yake ni dola milioni 1

Kwa miaka mingi filamu za Afrika zimekuwa zikitumia bajeti ndogo kutokana na uchumi. Hata Nollywood ambao kiwanda chao kinadaiwa kuwa na thamani ya dola bilioni 4.3 au asilimia 1.2 la pato la taifa, bado imeendelea kuwa na filamu za kawaida. Hata hivyo kuna filamu iliyopo kwenye hatua za utengenezaji iitwayo ‘The CEO’ inaweza kuja kuwa […]

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Nagu amwakilisha Rais Kikwete kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Asia na Afrika, Jakarta,Indonesia

Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (wa tatu kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Indonesia,Dkt. Aziz Ponary Mlima (wa tatu kulia), Mkurugenzi wa Asia-Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kushoto), Afisa wa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Bw. Hatibu Makenga (kushoto), Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Indonesia, Bw. Dismass Assenga (wa pili kuliana Bwana Emmanuel Rhobi-Msaidizi wa Waziri, mara baada ya kuhudhuria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani