Nahreel azungumzia madai ya wimbo wa Game kufanana na wimbo wa Patoranking ‘Girlie O’
Mtayarishaji wa muziki na msanii, Nahreel amezungumzia madai ya kufanana kwa wimbo wa kundi lake Navy Kenzo, ‘Game’ pamoja wimbo wa ‘Girlie O’ wa msanii wa Nigeria, Patoranking. Nahreel ameiambia 255 kwenye kipindi cha XXL kupitia Clouds FM kuwa kabla wimbo huo haujatoka Patoranking aliusikia na kuusifia. “Kiukweli cha kwanza kabla Game haijatoka Patoranking yeye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Koffie azungumzia wimbo wa Selfie
9 years ago
Bongo503 Dec
Nahreel asema hakufurahishwa na kitendo cha kuondolewa kwa utambulisho wake kwenye wimbo wa ‘Nana’
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/07/Nahreel-200x200.jpg)
Kuna baadhi ya watu huenda hawafahamu kuwa mdundo wa ‘Nana’ wa Diamond Platnumz ni zao la producer Nahreel wa The Industry, na hii ni kutokana kwamba haina ule utambulisho wa kazi zake ‘Nahreel on the beat’ ambao husikika kwenye kazi zote alizotayarisha.
Nahreel amesema kuwa kiashirio cha producer kwenye wimbo huo kiliondolewa kwa sababu ambazo hakuona kama zina uzito.
“Sababu walizosema walisema tu stori ilivyoanza pale mbele ile slogan yangu ingeleta hitilafu lakini it doesn’t make sense,...
10 years ago
Bongo520 Aug
Alikiba azungumzia uwezekano wa kufanya wimbo na Diamond Platnumz
11 years ago
Bongo523 Jul
Roma atimiza ahadi ya kufanya wimbo Sharobaro Rec, wimbo unaitwa ‘Maumivu’
9 years ago
Bongo509 Nov
Barnaba: Video ya wimbo wangu na Jose Chameleone itachelewa kwasababu ninauogopa wimbo
![Barnaba c](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Barnaba-c-300x194.jpg)
Wimbo mpya wa Barnaba Classic aliomshirikisha staa wa Uganda, Jose Chameleone ndio collabo ya kwanza ya kimataifa kwa Barnaba.
Barnaba ambaye anauachia wimbo huo ‘Nakutunza’ leo November 9, amesema kuwa video ya wimbo huo itachelewa kutokana na kwamba yeye binafsi anauogopa wimbo huo, akimaanisha ni wimbo mkubwa hivyo anaogopa kukosea.
“Video yangu imechelewa kwasababu wimbo huu ndio collabo yangu ya kwanza inayonipeleka International na ndio collabo yangu kubwa” alisema Barnaba kupitia...
9 years ago
Bongo513 Oct
Video: Izzo Bizness azungumzia wimbo wake mpya ‘Shem Lake’
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7hRyefEXhvs/default.jpg)
10 years ago
Bongo513 Feb
Rich Mavoko: Sijaachia wimbo wala kwa sasa sina mpango wa kuachia wimbo
10 years ago
Bongo503 Nov
Kala Jeremiah: Wimbo nitakaofungia mwaka ndio wimbo wangu wa kwanza mtu akisikiliza analia