TANZANIA INAFANYA VIZURI KWENYE KUPUNGUZA TB KWA ASILIMIA 75
![](https://1.bp.blogspot.com/-gk9Wrk95T1g/XllMLY8ky6I/AAAAAAALf-M/8Yo11iyYujcaOsa2QWzXhiFxgweyhkmOACLcBGAsYHQ/s72-c/69151129_100882537910288_5094833120814894197_n.jpg)
Na. Catherine Sungura-Dodoma.
Tanzania ni moja ya nchi mbili afrika zinazofanya vizuri katika kupunguza maambukizi,kutibu pamoja na kupona ugonjwa wa kifua kikuu “TB” na hivyo kufikia asilimia 75 ya malengo yaliyowekwa.
Hayo yameelezwa leo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu Afya Dkt. Zainabu Chaula wakati wa mkutano wa kupokea ripoti ya tathimini ya mapitio ya mpango mkakati wa kifua na ukoma uliofanyika jijini hapa.
“Shirika la Afya Duniani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Sep
Tumepata feedback ‘Game’ inafanya vizuri sana kwenye nchi nyingi Afrika — Nahreel
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sukGDga1K-k/XrvZw-s86cI/AAAAAAALqDM/-TnR4RM2-2g1SFjiONbZYDJifNWT1yPyACLcBGAsYHQ/s72-c/25761ac5-fedb-4a76-946c-1693ac433d3f.jpg)
MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO
Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Wahitimu 130 wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), watunukiwa tuzo kwa kufanya vizuri kwenye masomo
Onesmo Charles ambaye ni mmoja wa wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika masomo katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), akijaribu kifaa cha kisasa cha kupimia ardhi, viwanja na ramani za nyumba alichozawadiwa Kampuni ya Hightech Systems (T) Limited katika hafla ya kuwakabidhi zawadi na tuzo wanafunzi hao bora iliyofanyika katika chuo hicho leo ikiwa ni sehemu ya mahafali ya nane ya chuo hicho yatakayofikia kilele kesho kutwa Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_4HrcjA_NL0/VICM-xiwLmI/AAAAAAAAw6w/No_oLTrixks/s1600/02%2BOnesmo%2BCharles.jpg)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v2quA0hhCZk/VAjTZb0V8xI/AAAAAAAGeTE/cJWbluIbTd4/s72-c/1.jpg)
Tanzania yajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 124
![](http://1.bp.blogspot.com/-v2quA0hhCZk/VAjTZb0V8xI/AAAAAAAGeTE/cJWbluIbTd4/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zLL88XA8_6Q/VAjTZZngDpI/AAAAAAAGeTM/iWO86hcd8e0/s1600/2.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Utafiti: Tanzania kinara wa kuzalisha mpunga A. Mashariki kwa asilimia 65
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Tanzania yapongezwa kwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
![Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01041.jpg)
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s72-c/img_0532.jpg)
Tanzania Yafanikiwa Kupunguza Uingizaji wa Dawa za Kulevya Nchini kwa 90%.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s400/img_0532.jpg)
Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini.
Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama alisema kuwa tatizo la dawa za kulevya katika jamii ni suala...
9 years ago
Bongo507 Oct
Ushirikiano wa ma-producer wa Tanzania upo kwa asilimia ndogo sana — Nahreel