Maro Itoje: Je mchezaji huyo mwenye mizizi yake Nigeria ataiwakilisha England au Nigeria?
Maro Itoje, ambaye wazazi wake walizaliwa Nigeria amejipata njia panda kuhusu uwakilishi wa taifa lake - amezungumza na BBC Sport Africa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBC13 Feb
Rugby star Maro Itoje: Who would he support in Nigeria v England?
11 years ago
Mwananchi21 Jun
BRAZIL 2014: England nje, Ghana, Nigeria kazini
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...
9 years ago
Bongo516 Sep
Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai
9 years ago
Bongo501 Dec
Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa
![Burna-Boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Burna-Boy-300x194.jpg)
Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.
Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.
“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Mr Flavour yupo nje ya Nigeria, lakini hizi ndio stori zilizoenea Nigeria kuhusu yeye …
December 27 zimenifikia headlines za mkali wa hit singles za Ashaw, Golibe na Sweetie Mr Flavour, asubuhi ya December 27 ameingia katika headlines kwao Nigeria, baada ya kuaminika kuwa staa huyo yupo katika mipango ya kufunga ndoa ya siri siku ya Jumatatu ya December 28. Flavour anatajwa kutaka kumuoa babymama wake wa kwanza Sandra Okagbue kwa […]
The post Mr Flavour yupo nje ya Nigeria, lakini hizi ndio stori zilizoenea Nigeria kuhusu yeye … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo03 Dec
BILIONEA NIGERIA AMZIKA MAMA YAKE NDANI YA HUMMER
![](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141130-WA0056.jpg)
![](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141130-WA0057.jpg)
![](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141130-WA0058.jpg)
Bilionea akimzika mama yake ndani ya gari la Hummer nchini Nigeria.
![](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141130-WA0059.jpg)
9 years ago
Bongo516 Oct
Diamond adai kolabo yake na Ne-Yo imewatisha wasanii wa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England