Keissy: Sitachangia chochote bungeni
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ally Keissy amesema hataomba kuchangia katika mjadala wa Katiba kwa sababu hakubaliani na mwenendo wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Keissy alianzisha tena bungeni
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Ally Keissy ‘alianzisha’ tena bungeni
10 years ago
Mwananchi24 Jun
‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Keissy: Ubunge ukiisha mtapanda bajaji
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Keissy adai anaamini katika Serikali moja
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Mkimaliza kumpiga Keissy, rudini kuijadili hoja yake
KAMA kuna anayedhani kuwa zimwi la matatizo ya Muungano litaondoka hivi hivi bila kuchukua hatua za kivitendo kuyatatua matatizo hayo anajidanganya sana. Kuamini kuwa zimwi hili litapatiwa ufumbuzi kwa maneno...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Keissy wa CCM atoa ‘salary slip’ mkutano wa ACT-Wazalendo
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Kerr hawazi chochote ni Azam
KOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.
Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...