Keissy: Ubunge ukiisha mtapanda bajaji
Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy (CCM) jana alisababisha tena vicheko bungeni wakati aliposema kuwa wabunge wanaomba viwanja vya ndege vijengwe katika maeneo wanayotoka, wanafanya hivyo kujifurahisha kwa kuwa baada ya ubunge hawatakuwa na uwezo wa kupanda ndege badala yake watapanda mabasi na bajaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKALA YA SHERIA: JE WAJUA MUDA WA HATI YA NYUMBA UKIISHA WAWEZA KUNYANGANYWA ARDHI?
Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana. Kama ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano leseni za kuendeshea vipando...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Keissy: Sitachangia chochote bungeni
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Keissy alianzisha tena bungeni
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Ally Keissy ‘alianzisha’ tena bungeni
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Keissy adai anaamini katika Serikali moja
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Mkimaliza kumpiga Keissy, rudini kuijadili hoja yake
KAMA kuna anayedhani kuwa zimwi la matatizo ya Muungano litaondoka hivi hivi bila kuchukua hatua za kivitendo kuyatatua matatizo hayo anajidanganya sana. Kuamini kuwa zimwi hili litapatiwa ufumbuzi kwa maneno...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Keissy wa CCM atoa ‘salary slip’ mkutano wa ACT-Wazalendo
10 years ago
Mwananchi24 Jun
‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni