Ally Keissy ‘alianzisha’ tena bungeni
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy almanusura azue kizaazaa kwa mara nyingine na wabunge wa Zanzibar alipohoji sababu ya wabunge hao kuzungumzia suala la Rais Jakaya Kikwete kwenda kutibiwa Marekani akisema wenyewe wamekuwa wakienda kutibiwa India.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Keissy alianzisha tena bungeni
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Keissy: Sitachangia chochote bungeni
10 years ago
Mwananchi24 Jun
‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Sakata la Faiza Ally Kunyang’anywa Mtoto Latua Bungeni
Siku chache zimepita tangu hukumu ya kesi ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kutolewa dhidi ya mzazi mwenzake Faiza Ally,baada ya kuiomba mahakama kumchukua mtoto wao, hali iiyopelekea mahakama kutoa hukumu kuwa mtoto achukuliwe na Mbunge huyo, jambo lililofanya sakata hilo kutinga bungeni.
Baadhi ya wabunge na wadau mbalimbali wamedai kuwa mtoto bado ni mdogo sana kuweza kuishi na baba yake na kutoa maoni kuwa mtoto arudishwe kwa mama yake kwa kuwa kila mtu ana mapungufu na...
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Atoa Maelezo Yake binafsi Bungeni Baada ya Ishu ya Faiza Ally na Mtoto Wao kuzungumzwa Hapo Jana
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.
Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Muswada wa Takwimu wadunda tena bungeni, warudishwa
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_1259.jpg?resize=544%2C408)
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Keissy: Ubunge ukiisha mtapanda bajaji
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Keissy adai anaamini katika Serikali moja