Mkimaliza kumpiga Keissy, rudini kuijadili hoja yake
KAMA kuna anayedhani kuwa zimwi la matatizo ya Muungano litaondoka hivi hivi bila kuchukua hatua za kivitendo kuyatatua matatizo hayo anajidanganya sana. Kuamini kuwa zimwi hili litapatiwa ufumbuzi kwa maneno...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jun
‘Bwege’, Keissy wabunge wanaotumia mzaha kuwasilisha hoja nzito bungeni
9 years ago
Bongo528 Aug
Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Warioba afunguka,atoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja za taarifa yake
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi3fabXv84U/U7La-NKf5DI/AAAAAAAABSg/OD4RIdVY3bI/s72-c/niwemugizi.jpg)
‘UKAWA rudini bungeni’
NA FRANK KIBIKI, IRINGA
BARAZA la Maaskofu Tanzania (TEC), limeitaka serikali kuhakikisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanarejea bungeni bila masharti.
Limesema Bunge Maalumu la Katiba lipo na linaendeshwa kwa mujibu wa sheria hivyo, wajumbe wanapaswa kurejea pindi litakapoanza vikao vyake ili kuutendea haki mchakato wa Katiba Mpya.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wi3fabXv84U/U7La-NKf5DI/AAAAAAAABSg/OD4RIdVY3bI/s1600/niwemugizi.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Mziray: Ukawa rudini bungeni
10 years ago
Habarileo15 Oct
Sumaye- Watanzania rudini mstarini
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Frederick Sumaye amesema Watanzania wameanza kuhama katika mstari wa maadili uliosimamiwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere wakati wa uhai wake na kushauri warudi katika mstari huo ili kumuenzi.
10 years ago
Habarileo21 Aug
'Baba, mama rudini bungeni'
KAMATI Kuu ya Baraza la Watoto wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekutana mjini hapa na kutoa tamko la kuwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliowatambulisha kama baba na mama zao, kurudi bungeni kukamilisha kazi waliyoianza.
11 years ago
Habarileo23 Apr
'Mliosusa Bunge Maalum rudini'
WAJUMBE wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi na baadhi ya kundi la 201 waliosusa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, wameombwa kurudi bungeni kutengeneza Katiba kwani mchakato huo ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa na Watanzania wote.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Askofu: Ukawa rudini bungeni
KANISA Katoliki Tanzania limetoa tamko zito kuhusu mchakato wa Katiba unaoendelea, matukio yanayoashiria uchochezi wa dini na Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika mwaka kesho.