UZA CHOCHOTE BURE KATIKA MTANDAO WETU
![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJDd82188WmOUiLunRoZXHeznF4*ZRveHp8Xefn0sERN1ORPZTnxlE4b7xaqVIlONZ4y38IHUOQm81jspjoAKjT/GLOBAL2.jpg?width=750)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi28 Jun
Smart Gulio. Soko Jipya la Simu na tablets Tanzania kwa njia ya Mtandao, Uza na Nunua kifaa Cha smart Buree
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s72-c/images.jpg)
mtandao wa wasanii tanzania (Shiwata) kugawa viwanja bure kwa wanachama wake mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s1600/images.jpg)
WILAYA ya Mkuranga katika mkoa wa Pwani imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib amesema
Bw. Taalib kasema kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katikia kijiji cha Kiparang’anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA...
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Wahenga akabidhiwa gari ‘Uza na Ushinde’
KAMPUNI ya Silafrika Tanzania Ltd inayojihusisha na kutengeneza vifaa vya plastiki, imekabidhi mshindi wa ‘Uza na Ushinde’ Fatuma Wahenga kutoka FM J Hardware gari aina ya Suzuki Carry. Akizungumza na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMKj73j7lqgR6DFUT8dgndEq4sq9*yC1HuH0a2*JOCPyCihfIfnjTCbcOOCNiIXi9-GSUQcdoJAMIj-0YZ6pM9T/GPL.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao
TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-03U-J-5snvU/VDPe4mANeSI/AAAAAAAAX3c/-3WhD-pfBOE/s72-c/Mroki-Mporojost.jpg)
TUWAPELEKE WATOTO WETU KATIKA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA OKTOBA 18-24
![](http://4.bp.blogspot.com/-03U-J-5snvU/VDPe4mANeSI/AAAAAAAAX3c/-3WhD-pfBOE/s1600/Mroki-Mporojost.jpg)
Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa dalili za magonjwa haya mawili zinafanana, hivyo ni vigumu kutofautisha. Wataalamu hao wanasema dalili kuu ni homa na vipele vidogovidogo.
Chanjo ya surua-rubella hutoa kinga kamili dhidi ya magonjwa haya. Dozi ya kwanza hutolewa kwa mtoto anapofikia umri wa miezi 9 na dozi ya pili akiwa na mwaka mmoja na nusu (miezi 18)....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TZ3PKmAV-XY/U0HVtTcax_I/AAAAAAAFZF0/mUI6Ufle6K8/s72-c/unnamed+(53).jpg)
SOMO LA BURE LA LEO: KUWA MAKINI KATIKA KUTOA TAARIFA BINAFSI MITANDAONI