Wahenga akabidhiwa gari ‘Uza na Ushinde’
KAMPUNI ya Silafrika Tanzania Ltd inayojihusisha na kutengeneza vifaa vya plastiki, imekabidhi mshindi wa ‘Uza na Ushinde’ Fatuma Wahenga kutoka FM J Hardware gari aina ya Suzuki Carry. Akizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMteja wa Benki ya NBC Tawi Bukoba akabidhiwa zawadi kubwa ya gari la Promosheni ya Weka Upewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJDd82188WmOUiLunRoZXHeznF4*ZRveHp8Xefn0sERN1ORPZTnxlE4b7xaqVIlONZ4y38IHUOQm81jspjoAKjT/GLOBAL2.jpg?width=750)
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dOV8831GDKcgC9m4UjrIfA*MG04AZMVwbvACLQNNWi3nZM3LRctWJzDhxZqoKFDRngpmcplC7swv12Q6V*zlWYR1lv8AE8ht/NMBcopy.jpg?width=750)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V5SQF2oUQcM/Xk05PJRcopI/AAAAAAAEFGo/wek3HE-p8acgZrdCK9zgbLbFLGE2IEg8QCLcBGAsYHQ/s72-c/R3.jpg)
Tigo yazindua Promosheni ya Bid-2-Win (Toa bei Ushinde)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V5SQF2oUQcM/Xk05PJRcopI/AAAAAAAEFGo/wek3HE-p8acgZrdCK9zgbLbFLGE2IEg8QCLcBGAsYHQ/s640/R3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vUmYpyw17No/Xkz8dofUlrI/AAAAAAAA9cQ/HxvNe0wuYIYaQ_CXRgu60USAAXk9FgfOwCLcBGAsYHQ/s640/R6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OYROYfPsACQ/VFCqE7BLvAI/AAAAAAAGuAI/7ZuhV9XPvhg/s72-c/Untitleda.png)
NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi25 kuibuka washindi katika droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rLqr4Ua2r0o/VmGJ-jNIX6I/AAAAAAAIKL0/IsNUPcEKGw0/s72-c/GY3A9413.jpg)
Droo ya kwanza ya Jaza Mafuta na Ushinde kutoka Gapco yachezeshwa jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-rLqr4Ua2r0o/VmGJ-jNIX6I/AAAAAAAIKL0/IsNUPcEKGw0/s640/GY3A9413.jpg)