25 kuibuka washindi katika droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO
Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 20 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xTNVrt8_kfA/VmlqBOOyegI/AAAAAAAAwH8/ZzmfeAK1xXo/s72-c/index.jpg)
droo ya pili ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" kutoka GAPCO yachezeshwa leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-xTNVrt8_kfA/VmlqBOOyegI/AAAAAAAAwH8/ZzmfeAK1xXo/s640/index.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vbKyqMyXycc/VmlqY8gjsPI/AAAAAAAAwIE/QFVOToaVgxo/s1600/Screen%2BShot%2B2015-12-10%2Bat%2B3.03.51%2BPM.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CPyivL2xjvg/VoPtkZbFfII/AAAAAAAAwnE/VTleW5zFfRM/s72-c/FullSizeRender.jpg)
Droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO yafanyika jijini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-CPyivL2xjvg/VoPtkZbFfII/AAAAAAAAwnE/VTleW5zFfRM/s640/FullSizeRender.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UTPPYxPWoas/VoPtmrEKJGI/AAAAAAAAwnM/5rTv330qlw8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-12-30%2Bat%2B5.39.38%2BPM.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rLqr4Ua2r0o/VmGJ-jNIX6I/AAAAAAAIKL0/IsNUPcEKGw0/s72-c/GY3A9413.jpg)
Droo ya kwanza ya Jaza Mafuta na Ushinde kutoka Gapco yachezeshwa jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-rLqr4Ua2r0o/VmGJ-jNIX6I/AAAAAAAIKL0/IsNUPcEKGw0/s640/GY3A9413.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde†ya GAPCO yafanyika jijini Dar
Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde” inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 25 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OYROYfPsACQ/VFCqE7BLvAI/AAAAAAAGuAI/7ZuhV9XPvhg/s72-c/Untitleda.png)
NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hQAa-B44Tt4/Va9ueM96eRI/AAAAAAAHq_w/JbGGLNdqXH0/s72-c/Picture%2B1jpg.jpg)
AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA KWANZA WA DROO YA PROMOSHENI YA "JIONGEZE NA MSHIKO"
![](http://1.bp.blogspot.com/-hQAa-B44Tt4/Va9ueM96eRI/AAAAAAAHq_w/JbGGLNdqXH0/s640/Picture%2B1jpg.jpg)
aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya wiki ya
promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel
kutoka mikoa ya Geita na Mtwara walipatikana akichukua taarifa za
mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha
bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana
Fabian Felician.(kati) droo hii imechezwa leo katika makao makuu ya
Airtel Moroco jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4gERLpZGG476a*Rbdlz4JWVkfh*Fn4gynK420Lps2O3ueerds6u5OAU-8HarrzdQugTAYWORIeHnYn-SjRNsbE*/Picture1jpg.jpg?width=650)
AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA KWANZA WA DROO YA PROMOSHENI YA "JIONGEZE NA MSHIKO"
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Washindi 16 wapatikana katika droo ya Airtel Mkwanjika
Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (katikati) akiongea na moja ya washindi kupitia simu ya mkononi wakati wa kuendesha droo ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 16 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini , Bwana Abdallah Hemed na Afisa Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma (kulia).
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imechezesha droo ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mkwanjika na kuwapata...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-47uDqh2mhII/VHOZ3PtVCaI/AAAAAAABFyA/fyyBnU5cqnI/s72-c/003.jpg)
GAPCO YAZINDUA KADI MAALUM ZA SAFARI ZITAKAZOWEZESHA DEREVA KUPATA UNAFUU WA BEI YA MAFUTA KATIKA VITUO VYOTE, TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-47uDqh2mhII/VHOZ3PtVCaI/AAAAAAABFyA/fyyBnU5cqnI/s1600/003.jpg)