Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yazindua Promosheni ya Bid-2-Win (Toa bei Ushinde)

Mtaalamu wa Huduma za Kidigitali wa Tigo, Ikunda Ngowi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (Hawapo pichanoI). mapema leo katika uzinduzi wa promosheni ijulikanayo kama ‘Bid-2-Win’ au Toa bei ushinde itakayowapa wateja nafasi ya kununua bidhaa mbalimbali kwa bei ya chini. Katika promosheni hiyo wateja wateweza kujishindia zawadi zenye thamani ya hadi Sh5 milioni. Pembeni yake ni Mtaalam wa huduma za ziada Fabian Felician. Mtaalamu wa Huduma za Kidigitali wa Tigo, Ikunda Ngowi akijibu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE

BENKI ya NMB Jana ilikabidhii zawadi kwa washindi wa promosheni ya Weka na Ushinde. Zaidi ya wateja 165 walijishindia zawadi mbali mbali ikiwa ni: washindi 17 wa Bajaj, wa Pikipiki aina ya ‘Boxer’ 16 na Baiskeli aina ya ‘Phoenix’ 137.
Washindi hao wamepatikana ndani ya mwezi mmoja tangu kuanzishwa kwa promosheni hii ya Weka na Ushinde ambayo inaendelea hadi mwishoni mwa mwaka huu 2014.
Benki ya NMB inatoa wito kwa wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa kwa kushiriki kampeni ya Weka na...

 

9 years ago

Michuzi

25 kuibuka washindi katika droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO

Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 20 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.

 

9 years ago

Michuzi

droo ya pili ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" kutoka GAPCO yachezeshwa leo

Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa Kampuni ya Mafuta ya GAPCO, Rashid Khalfan (kulia) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya pili ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayoendeshwa na Kampuni hiyo na kusimamiwa na Mkaguzi wa Michezo ya kubahatisha nchini, Abdallah Hemedy (kushoto). katikati ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.

 

9 years ago

Michuzi

Droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO yafanyika jijini Dar es Salaam

Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi (katikati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayowawezesha wateja wake kujipatia lita 40 za mafuta kwa kila mshindi wa droo hiyo kila wiki. Kulia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid, na kushoto ni Meneja wa Fedha wa Kampuni ya mafuta ya GAPCO Tanzania, Michael Chobu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’

1

Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.

2

Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.

IMG_2230

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Tigo yatoa mil.400/- katika promosheni

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imekabidhi Sh milioni 400 ndani ya mwezi mmoja katika promosheni yake. Promosheni hiyo ni ya ‘Cheza Kwa Furaha Unaposhinda Kitita na Tigo Pesa’ huku Sh milioni 720 zikiendelea kushindaniwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo launches bid to become biggest 4G network in Tanzania

15042420

Tanzania’s Minister of Communications, Science and Technology Professor Makame Mbarawa (Guest of Honour) addressing stakeholders during the launch of 4GLTE technology by Tigo Tanzania.

15042418

Ag Tigo Tanzania General Manager Cecile Tiano making her key-note speech during the launch of the fastest Network in Tanzania 4GLTE in Mlimani City, Dar es Salaam.

15042411

From Left: Tanzanian Socialite Abby Platjes and Musician Vanessa Mdee getting schooled on how 4G LTE technology works by Tigo...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Airtel yazindua promosheni nyingine

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imezindua promosheni mpya itakayofahamika kama ‘Jiongeze na Mshiko’ inayotarajiwa kudumu kwa siku 120.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo jijini hapa jana, Meneja Huduma za Ziada wa kampunii hiyo, Prisca Tembo, alisema promosheni hiyo inalenga kuboresha uhusiano kati ya kampuni na wateja wake nchini kote.

“Wateja watakuwa wakizawadiwa kila wiki kwa miezi hiyo minne kupitia promosheni hii ambapo mteja atapewa nafasi ya kujiunga na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL yazindua promosheni ya bewerere

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imezindua promosheni inayolenga kuwapa wananchi huduma bora kwa bei nafuu inayojulikana kwa jina la Bwerere. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Ofisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani