UJAUZITO WAMNYIMA KIM USINGIZI
NEW YORK, MAREKANI
MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani, Kim Kardashian, amesema kwa hatua aliyofikia anapata maumivu
ya tumbo wakati wa kulala kiasi cha kukosa usingizi.
Mrembo huyo anatarajia kupata mtoto wa pili, baadaye Desemba, mwaka huu na mume wake Kanye West, lakini kutokana na hatua ambayo ujauzito wake umefikia, anadai inampa usumbufu mkubwa.
“Natarajia kupata mtoto wa pili hivi karibuni, lakini kwakweli kwa sasa napata maumivu ya tumbo wakati wa kulala, hii ni dalili ya kuwa siku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Viungo wamnyima usingizi Nooij
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LahynFxsOHpg2jvhqrNkmkkHr7p2a9nL2J9i7mznSH1FXnPK8iztJNvHUsLDfoA5Nu-KWxzveP-WJPFeihVGYr8/KimKardashian1.jpg?width=650)
LICHA YA UJAUZITO KIM KARDASHIAN AVAA GAUNI LENYE KUACHA MATITI NUSU NJE
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Lowassa: Msikose usingizi
Lowassa: Msikose usingizi
*Amwaga ahadi, asema hakuna kura itakayoibwa
*Mnyika amfananisha Dk. Slaa na Samsoni, Delila
NORA DAMIAN NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa.
Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39f1gBndEYFvVqueu1GLiHKkh*40Exyrq2HS5cXrU46y2Ebif3DJYSXQ74ADQQiXh7Zb1-e0Z2JFFuW0vbVDK3ah/njemba.jpg?width=650)
CHEZEA USINGIZI WEWE!
11 years ago
Habarileo21 Jun
JK: Bunge la Katiba halininyimi usingizi
RAIS Jakaya Kikwete amesema hana wasiwasi na hali ya mjadala mkali, uliotawala Bunge Maalumu la Katiba, kwa sababu ni muhimu kwa mjadala kuhusu Katiba mpya, ukawa wa kina ili kuweza kupata Katiba bora kwa Watanzania.
10 years ago
Habarileo28 Jun
Membe: Pinda ananinyima usingizi
WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye pia anaomba CCM impitishe kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu, Bernard Membe amekiri kwamba katika kinyang’anyiro cha urais ndani CCM, mtu anayemnyima usingizi ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
9 years ago
Bongo504 Sep
Video: Tarsis Masela — Usingizi