Wabunge marafiki wa Lowassa wajitosa tena kuwania ubunge.
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, katika harakati za kusaka urais, wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kupitia chama hicho.
Kabla ya hapo, kulikuwa na uvumi kuwa wabunge hao hawatachukua fomu kutokana na kukatwa kwa Lowassa katika kinyang’anyiro cha urais.
Baadhi ya wabunge hao ambao wamechukua fomu hizo na kuzirejesha jana ni pamoja na Kangi Lugola (Mwibara), Andrew Chenge...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Oct
Chikawe atangaza kuwania tena ubunge
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Nachingwea, Mathias Chikawe ametangaza kuwa atagombea tena ubunge kupitia CCM katika uchaguzi mkuu wa mwakani, huku akiahidi kuibuka na ushindi.
10 years ago
Mwananchi15 May
Wabunge wahoji tena Lowassa kutosafishwa
10 years ago
Mwananchi24 Mar
KINYANG'ANYIRO CHA URAIS: wanawake watano wajitosa kuwania
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Marafiki wa Lowassa watembelea yatima
NA MARY MWITA, ARUMERU
ZAIDI ya vijana 200 wa 4 U Movement Friends of Lowassa wametembelea watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto cha Save Africa kilichoko Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha na kutoa zawadi ya Pasaka kwa watoto hao.
Kabla vijana hao hawajatembelea kituo hicho na kula chakula na watoto hao, walitembea kwa maandamano kutoka eneo la Usa River hadi kituoni hapo.
Wakati wa matembezi hayo, walikuwa wakiimba nyimbo za kumsifu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuonyesha...
10 years ago
Mwananchi31 Mar
10 years ago
Mtanzania14 May
Marafiki wa Lowassa kuchangia damu Muhimbili
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MAKAMU Mwenyekiti wa marafiki wa Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, Angel George, amesema mipango imekamilika ya kwenda kuchangia damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, jijini Dar es Salaam.
George alitoa taarifa hiyo jana jijini hapa, baada ya kusoma taarifa kwenye vyombo vya habari ikieleza kwamba, Hospitali ya Taifa Muhimbili inakabiliwa na uhaba wa damu.
“Hii taarifa tumeiona, tayari tumewasiliana na marafiki wa Lowassa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y-wdR59mjzs/VUoZDsVcbFI/AAAAAAAAPC8/uTSMoZJD-6Y/s72-c/E86A6860%2B(800x533).jpg)
KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASSA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y-wdR59mjzs/VUoZDsVcbFI/AAAAAAAAPC8/uTSMoZJD-6Y/s640/E86A6860%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7De4pqx5yfA/VUoZEvu0PbI/AAAAAAAAPDA/orAM9eIeFk0/s640/E86A6865%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mHt8D_2UsYM/VUoZLlbzJFI/AAAAAAAAPDk/2SAX382rlVg/s640/E86A6887%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LsmOMw1lkeg/VUoZMl_I88I/AAAAAAAAPDs/B7epcU9wego/s640/E86A6889%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 May
Party ya usiku wa marafiki wa Lowassa yafana jijini Arusha
Kada maarafu kupitia chama cha Mapinduzi CCM, Violet Mfuko akishow love na Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Nurdin Billal maarufu kama Shetta katika usiku wa marafiki wa Lowassa iliyofanyika katika ukumbi wa Triple A jijini Arusha.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nurdin Billal maarufu kama Shetta akicheza sambamba na Mkurugenzi wa kituo cha Radio 5 Robert Francis staili ya shikorobo juzi kwenye party ya usiku wa marafiki wa Lowassa ulifanyika katika ukumbi wa triple A jijini...