Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serukamba ataka wa ‘Richmond’ wasafishwe

Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter SerukambaMBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba ametaka Serikali isafishe viongozi wengine waliojiuzulu katika kashfa mbalimbali, ikiwemo ya Richmond, baada ya kutoa kauli ya kusafisha viongozi waliojiuzulu katika kashfa maarufu za Escrow na Operesheni Tokomeza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serukamba ataka treni mbili za kisasa

SERIKALI imetakiwa kununua treni mbili za kisasa ambazo ni maalumu kwa safari fupi ambapo gharama yake kila moja ni sh bilioni 8. Kamati ya Bunge ya Miundombinu, inayoongozwa na Peter...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond

Monday, August 31, 2015 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa […]

The post Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa kumzuia Serukamba Ubunge

Edward LowassaWAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa amesema huenda akamzuia Mbunge wa Jimbo la Kigoma, Peter Serukamba kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ili amsaidie jukumu muhimu kwenye safari yake ya matumaini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba

Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Peter Serukamba amewataka wabunge wenzake wamuunge mkono ili kuishinikiza Serikali itaifishe mitambo ya mmiliki wa PAP inayosimamia IPTL kwa sasa, Harbinder Singh Sethi.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Zitto ‘ajigawia’ jimbo la Serukamba

>Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema anakusudia kuwa mbunge wa Kigoma Mjini kwa kipindi kimoja cha miaka mitano kuanzia 2015 hadi 2020, kabla ya kuomba kazi nyingine ya kufanya kwa Watanzania. Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Peter Serukamba wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mtanzania

Serukamba atonesha vidonda Escrow, Tokomeza

peter-serukambaKhamis Mkotya na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.

Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.

Kauli hiyo aliitoa...

 

11 years ago

Habarileo

Serukamba awekwa kiti moto mbele ya Kinana

Peter SerukambaMBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba amejikuta katika wakati mgumu kwenye mkutano wa Halmashauri ya CCM wilaya ya Kigoma Mjini, baada ya kudaiwa na baadhi ya wajumbe kwamba hana ushirikiano na wenzake.

 

9 years ago

PM Making'

Richmond saga 'ex


IPPmedia
Richmond saga 'ex-PM making' - Slaa
Daily News
UNION presidential candidate under the coalition of four opposition parties (UKAWA), Mr Edward Lowassa, cannot distance himself from the Richmond scandal despite various efforts made by the parties to cleanse him. Addressing a packed press conference ...
Lowassa promises to control national debtIPPmedia

all 4

 

9 years ago

Vijimambo

JK AMTAJA MUHUSIKA WA RICHMOND


Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.
Kikwete aliyasema hayo jana wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika na kumtaka Lissu amtaje mwenye Richmond.“Endapo Tundu Lissu atashindwa kumtaja mwenye Richmond, nitatoka hadharani na kumtaja mwenyewe,” alisema Kikwete.Kabla ya mkutano huo, Rais Kikwete alifungua jengo la Mfuko wa Taifa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani