JK AMTAJA MUHUSIKA WA RICHMOND
Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.
Kikwete aliyasema hayo jana wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika na kumtaka Lissu amtaje mwenye Richmond.“Endapo Tundu Lissu atashindwa kumtaja mwenye Richmond, nitatoka hadharani na kumtaja mwenyewe,” alisema Kikwete.Kabla ya mkutano huo, Rais Kikwete alifungua jengo la Mfuko wa Taifa wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Sep
JK amtaja mhusika Richmond
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
David Kafulila live ndani ya HotMix — EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulile Mh. Kafulila ameeleza kuwa kabla ya kumkaribisha Lowassa walikaa vikao vya kina vya kumuhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa, na aliweka wazi na kuthibitisha kuwa muhusika wa Richmond ni Kikwete.Amemtaja […]
The post David Kafulila live ndani ya HotMix – EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Muhusika wa tatu wa mashambulizi ya Paris atambuliwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3X5AVOcXYC0/U6QEzRnh1bI/AAAAAAAFr7A/Qe61SjLophI/s72-c/magessa.jpg)
SAKATA LA NYOKA AINA YA CHATU ARUSHA MUHUSIKA ABAINISHA UKWELI WA MAMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-3X5AVOcXYC0/U6QEzRnh1bI/AAAAAAAFr7A/Qe61SjLophI/s1600/magessa.jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Ubaguzi kwenye soka: 'Huwezi kujua kile anachohisi muhusika wakati huo'
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia
10 years ago
Mtanzania13 Jun
Pinda amtaja Lowassa
Na Debora Sanja, Dodoma
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana amechukua fomu ya kuwania urais, huku akieleza rekodi alizoziweka tangu alipochukua nafasi hiyo kutoka kwa mtangulizi wake, Edward Lowassa.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhiwa fomu hiyo Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, Pinda, pamoja na mambo mengine, alieleza mambo aliyoyafanya kuwa ni pamoja na kuendeleza yale aliyoyaasisi mtangulizi wake huyo.
Pinda alimsifia Lowassa kwa kusimamia mchakato wa ujenzi wa shule...
10 years ago
CloudsFM06 Feb
JB amtaja ‘’muuaji’ wa filamu za Kibongo
‘’Unajua zamani filamu zilikuwa chache sana ndiyo maana kila shabiki alikuwa anaitafuta sana filamu ndiyo maana zilikuwa na thamani lakini sasa hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWhz2ls-oqno*yOMYG-MVcNcY4DgI4dWwCGbwzsFlWeQiyOazM7dpARtkaKPAFnv0L8fL3*bFhpTkV1WiLWroPGQ/marcio.jpg)
Maximo amtaja Boban Yanga SC