JK amtaja mhusika Richmond
Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo15 Sep
JK AMTAJA MUHUSIKA WA RICHMOND
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1617880/highRes/423889/-/maxw/600/-/4awr4f/-/kikwete.jpg)
Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.
Kikwete aliyasema hayo jana wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika na kumtaka Lissu amtaje mwenye Richmond.“Endapo Tundu Lissu atashindwa kumtaja mwenye Richmond, nitatoka hadharani na kumtaja mwenyewe,” alisema Kikwete.Kabla ya mkutano huo, Rais Kikwete alifungua jengo la Mfuko wa Taifa wa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
David Kafulila live ndani ya HotMix — EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond
Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulile Mh. Kafulila ameeleza kuwa kabla ya kumkaribisha Lowassa walikaa vikao vya kina vya kumuhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa, na aliweka wazi na kuthibitisha kuwa muhusika wa Richmond ni Kikwete.Amemtaja […]
The post David Kafulila live ndani ya HotMix – EATV, Amtaja Kikwete sakata la Richmond appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Nani mhusika mkuu?
UTATA mkubwa umeibuka kuhusu mmiliki wa shehena ya madini ghafi ya Tanzanite yaliyokuwa yanator
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Tatizo hutokea mhusika akiwa usingizi,hivyo hushindwa kujizuia
10 years ago
Bongo Movies16 May
JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu
Staa wa Bongo Movies ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu, Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.
Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...
11 years ago
GPL![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/04/polic.jpg?resize=435%2C339&width=600)
JESHI LA POLISI LIMETANGAZA ZAWADI YA TSH.MILION 10 KWA WEWE MWENYE TAARIFA ZA MHUSIKA WA BOMU ARUSHA
10 years ago
Mtanzania13 Jun
Pinda amtaja Lowassa
Na Debora Sanja, Dodoma
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana amechukua fomu ya kuwania urais, huku akieleza rekodi alizoziweka tangu alipochukua nafasi hiyo kutoka kwa mtangulizi wake, Edward Lowassa.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhiwa fomu hiyo Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, Pinda, pamoja na mambo mengine, alieleza mambo aliyoyafanya kuwa ni pamoja na kuendeleza yale aliyoyaasisi mtangulizi wake huyo.
Pinda alimsifia Lowassa kwa kusimamia mchakato wa ujenzi wa shule...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Lissu amtaja JK sakata la escrow
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWhz2ls-oqno*yOMYG-MVcNcY4DgI4dWwCGbwzsFlWeQiyOazM7dpARtkaKPAFnv0L8fL3*bFhpTkV1WiLWroPGQ/marcio.jpg)
Maximo amtaja Boban Yanga SC