Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nani mhusika mkuu?

UTATA mkubwa umeibuka kuhusu mmiliki wa shehena ya madini ghafi ya Tanzanite yaliyokuwa yanator

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu

Staa wa Bongo Movies  ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa  filamu,  Jerusalem Film Company, Jacob Stephen  ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.

Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yake Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.

 

9 years ago

Mwananchi

JK amtaja mhusika Richmond

Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.

 

9 years ago

Habarileo

Nani kama Waziri Mkuu Majaliwa

WANANCHI na wasomi wa Ruangwa na Dodoma, wanaamini Tanzania imepata kiongozi anayefahamu changamoto zinazowakabili watanzania wa hali ya kawaida kutokana na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo hutokea mhusika akiwa usingizi,hivyo hushindwa kujizuia

Kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, kukojoa kitandani au kujikojolea ni jambo la kawaida. Lakini vijana na watu wazima kujikojolea kitandani mara kwa mara siyo jambo la kawaida katika jamii. Watu wenye tatizo hili hujulikana kama vikojozi.

 

11 years ago

GPL

JESHI LA POLISI LIMETANGAZA ZAWADI YA TSH.MILION 10 KWA WEWE MWENYE TAARIFA ZA MHUSIKA WA BOMU ARUSHA

Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza zawadi ya Tsh.Milion 10 kwa mtu atakayewezesha kupatikana kwa wahusika walioshiriki mlipuko wa bomu lililolipuka Arusha,Bomu hilo lililipuka mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye bar ya Arusha Night Park ambalo lilisababisha majeruhi kadhaa. Mkurugenzi wa makosa ya jinai Tanzania Dci Isaya Mgula amesema uchunguzi wa awali uliofanywa na wataalam wa mabomu kutoka Jwtz na Jeshi la Polisi Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo

Historia yake Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP

Historia yake Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF

Ibrahim Lipumba ni mchumi wa kimataifa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Alizaliwa Juni 6, 1952 katika Kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani