Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo hutokea mhusika akiwa usingizi,hivyo hushindwa kujizuia

Kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, kukojoa kitandani au kujikojolea ni jambo la kawaida. Lakini vijana na watu wazima kujikojolea kitandani mara kwa mara siyo jambo la kawaida katika jamii. Watu wenye tatizo hili hujulikana kama vikojozi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

INI EDO AUCHAPA USINGIZI AKIWA UWANJA WA NDEGE

Ini Edo akiwa kauchapa usingizi. MWIGIZAJI wa Nollywood, Iniobong Edo maarufu kwa jina la Ini Edo ametupia Instagram picha yake akiwa ameuchapa usingizi katika uwanja wa ndege wakati akisubiri kusafiri kwenda mapumzikoni. Ini akiwa uwanja wa ndege kabla ya kuuchapa usingizi. Staa huyo wa Nigeria, hakueleza alikuwa anaelekea wapi lakini amesema anakwenda mapumziko na aliwaeleza mashabiki wake kuwa alikuwa na uchovu na usingizi...

 

10 years ago

Mwananchi

Zolpidem dawa inayotibu tatizo la kukosa usingizi

Zolpidem ni dawa inayotumika kutibu matatizo ya kukosa usingizi. Dawa hiyo hutumika kwa maelekezo ya daktari. Zolpidem  ni jina la jumla  la dawa hii. Yapo majina amengi ya kibiashara ya dawa katika nchi tofauti ulimwenguni. Baadhi ya majina haya ni  Ambien, Ambien CR, Edluar, Intermezzo na Zolpimist.

 

9 years ago

Raia Mwema

Nani mhusika mkuu?

UTATA mkubwa umeibuka kuhusu mmiliki wa shehena ya madini ghafi ya Tanzanite yaliyokuwa yanator

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

JK amtaja mhusika Richmond

Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.

 

9 years ago

Bongo5

Haya ndio mambo ambayo Nameless wa Kenya hushindwa kufanya kutokana na kuwa maarufu

Nameless nje

Maisha ya umaarufu yana raha na karaha zake, na faida na hasara zake.

Nameless nje

Katika vitu ambavyo watu maarufu kama wanamuziki na waigizaji huwa wanakosa ni uhuru wa kufanya mambo binafsi kama watu wa kawaida.

Nimetembelea ukurasa wa Instagram wa msanii wa Kenya, Nameless na kukutana na post yake akielezea jinsi alivyojisikia vizuri alipopata uhuru wa kufanya mambo ambayo huwa hawezi kuyafanya akiwa Kenya.

nameless

Nameless ambaye yuko Marekani kwenye show amepost picha hii na kuandika:

“The thing I love...

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON :Kwanini wahamiaji Ulaya hutokea zaidi Afrika Magharibi na Visiwa vya Karibi?

Lakini swali ni swali. Waswahili husema “kuuliza si ujinga”- liwe la mende, kupe, pikipiki, ndulele, tando za buibui au shamba la minazi, azma ni kutaka kujua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ashindwa kujizuia kula 'Tissue'

Mama mwenye watoto watano, ameelezea kuwa yeye hula karatasi nzima ya msalani au Tissue kila siku, uraibu ambao ameshindwa kabisa kuuacha

 

10 years ago

Mwananchi

Unaweza kujizuia kukata tamaa?

Unapofika mwisho wa mwaka, wengi tumezoea kutumiana salamu na kutakiana heri ya Mwaka Mpya.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu

Staa wa Bongo Movies  ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa  filamu,  Jerusalem Film Company, Jacob Stephen  ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.

Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani