Zolpidem dawa inayotibu tatizo la kukosa usingizi
Zolpidem ni dawa inayotumika kutibu matatizo ya kukosa usingizi. Dawa hiyo hutumika kwa maelekezo ya daktari. Zolpidem ni jina la jumla la dawa hii. Yapo majina amengi ya kibiashara ya dawa katika nchi tofauti ulimwenguni. Baadhi ya majina haya ni Ambien, Ambien CR, Edluar, Intermezzo na Zolpimist.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Tatizo hutokea mhusika akiwa usingizi,hivyo hushindwa kujizuia
Kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, kukojoa kitandani au kujikojolea ni jambo la kawaida. Lakini vijana na watu wazima kujikojolea kitandani mara kwa mara siyo jambo la kawaida katika jamii. Watu wenye tatizo hili hujulikana kama vikojozi.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Tatizo la mwanaume kupoteza au kukosa korodani
Ni tatizo au ugonjwa unaoweza kumpata mwanaume yeyote lakini zaidi kwa watoto wa kiume, hali hii inatokana na mtoto wa kiume kuzaliwa bila kuwa na korodani na hivyo mifuko ya korodani japo ipo lakini mitupu, au kuzaliwa na korodani lakini baadae zikapotea ghafla ukubwani.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi
>Waswahili wanao usemi maarufu kuwa, raha ya nyumba ni choo.Kwa hakika, hawakukosea kwani chakula chochote kinapoliwa lazima kitumike mwilini na mabaki yake kutolewa kwa njia ya haja kubwa.
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Tatizo la mwanamke kukosa siku zake (hedhi)
 Inafahamika kwamba mwanamke au msichana yeyote aliyepevuka kikamilifu, hupata siku zake za kutokwa na damu isiyoganda katika njia ya uzazi mara moja kwa mwezi. Dalili hiyo inaashiria ukomavu katika viungo vya uzazi.
5 years ago
MichuziWATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Salum Manyata amewahasa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi nchini kuwa wana jukumu kubwa la kuboresha utoaji wa huduma wa dawa za usingizi kwa kina mama wajawazito wakati wa upasuaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza wakati wa utoaji huduma hiyo.
Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...
Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...
10 years ago
VijimamboDK. MANDAI AKIELEZEA TATIZO LA KUKOSA CHOO NA NAMNA YA KUKABILIANA NALO
Mkurugenzi Mkuu wa Mandai Herbalist Clinic, Dk. Abdallah MandaiKuna wakati huenda huwa ukawa unajikuta ukipitisha siku mbili au tatu bila kwenda msalani kupata haja kubwa, huenda ukawa haufahamu ni kwanini hali hiyo inakutokea au ilikutokea.
Lakini hapa Dk Mandai anakupa fursa ya kufahamu kuhusu tatizo hilo la kukosa choo ambalo wenzetu wazungu huliita 'consumption'. Karibu utazame kipindi hiki hapo chini ujifunze mengi pia kuhusu tiba asilia zitokanazo na mimea, matunda, nafaka na mitishamba.
10 years ago
Vijimambo14 Nov
Waziri wa Afya asema la hospitali kukosa dawa limekuzwa mno
Mgeni rasmi Waziri wa Afya, Dkt. Seif Rashid akizungumza wakati wa kuzindua kongamano la tisa la NHIF na Waandishi wa Habari,lililofanyika leo katika moja ya ukumbi wa Dodoma hotel mkoani humo,ambapo kauli mbiu ya kongamano hilo ni ''Tanzania na Huduma bora za matibabu inawezekana''.
Tatizo la ukosefu wa dawa katika hospitali kadhaa nchini, limekuzwa mno kuliko hali halisi na serikali itatoa taarifa rasmi kesho kuelezea tatizo hilo na hatua ambazo imechukua.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa...
Tatizo la ukosefu wa dawa katika hospitali kadhaa nchini, limekuzwa mno kuliko hali halisi na serikali itatoa taarifa rasmi kesho kuelezea tatizo hilo na hatua ambazo imechukua.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa...
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tatizo la Dawa bandia TZ
Wiki hii Haba na Haba inaangazia tatizo la uwepo wa dawa bandia hususan dawa za Malaria Tanzania
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Matumizi ya dawa katika riadha ni tatizo
Rais wa chama cha riadha duniani Lamine Diack amesema matumizi ya dawa za kusisimua misuli katika riadha ni tatizo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania