Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matumizi ya dawa katika riadha ni tatizo

Rais wa chama cha riadha duniani Lamine Diack amesema matumizi ya dawa za kusisimua misuli katika riadha ni tatizo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yapania Kuondoa Tatizo la Dawa katika Hospitali za Umma

PIC 1

Mkurugenzi wa shughuli za Kanda na Huduma kwa wateja  toka Bohari ya Dawa (MSD) Bw. Edward Terry Kulia akizungumza na waandishi wa habari  leo katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo  juu ya mpango wa bohari hiyo kupanua maghala  ya kuhifadhi Dawa na Vifaa  tiba kama moja ya hatua za kuboresha huduma zinazotolewa na Bohari hiyo . Kushoto ni Mkurugenzi  wa Manunuzi wa Bohari hiyo  Bw. Heri Mchunga.

PIC 2

Mkurugenzi  wa Manunuzi  Bohari ya Dawa (MSD) Bw. Heri Mchunga akielezea kwa waandishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAAJABU YA DAWA YA JIKO KATIKA KUMALIZA NA KUPONYESHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.

Neema  Herbalist  &  Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji  wa  dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Dawa  hii  iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE  HERBAL) na  inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za  kiume  ndani  ya  siku  thelathini.
JINSI   DAWA  YA  JIKO  INAVYO  FANYA  KAZI.Dawa ya JIKO inasadia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Riadha:Sheria dhidi ya dawa zatolewa

Shirika la riadha nchini AK limetoa orodha ya sheria za kukabiliana na wanaraidha wanaoutumia dawa za kusisimua misuli

 

11 years ago

BBCSwahili

Tatizo la Dawa bandia TZ

Wiki hii Haba na Haba inaangazia tatizo la uwepo wa dawa bandia hususan dawa za Malaria Tanzania

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa maduka ya dawa tatizo nchini

Dar es Salaam. Chama cha Mafamasia nchini (PST) kimesema matatizo mengi yatokanayo na matumizi mabaya ya dawa yanasababishwa na uwepo wa maduka ya dawa yasiyo na wataalamu na yanayoendeshwa kiholela.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yakiri tatizo la dawa za kusisimua misuli

Riadha ya Urusi ina tatizo na utumizi wa dawa za kulevya,lakini marufuku ya kutoshiriki katika michezo ya Olimpiki itawaadhibu wanariadha wasiotumia dawa hizo kulingana na katibu mkuu wa shirikisho la riadha nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Zolpidem dawa inayotibu tatizo la kukosa usingizi

Zolpidem ni dawa inayotumika kutibu matatizo ya kukosa usingizi. Dawa hiyo hutumika kwa maelekezo ya daktari. Zolpidem  ni jina la jumla  la dawa hii. Yapo majina amengi ya kibiashara ya dawa katika nchi tofauti ulimwenguni. Baadhi ya majina haya ni  Ambien, Ambien CR, Edluar, Intermezzo na Zolpimist.

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya dawa asilia kama tiba mbadala (2)

Napenda kufafanua kuwa maelezo yangu kuhusu dawa asilia hayana uhusiano wowote na masuala ya tiba yanayoshughulikiwa na waganga wa kienyeji wanaotumia mazingaombwe, ushirikina, mizimu, mashetani na mambo kama hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani