Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo la Dawa bandia TZ

Wiki hii Haba na Haba inaangazia tatizo la uwepo wa dawa bandia hususan dawa za Malaria Tanzania

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu kwa jamii muhimu kutambua dawa bandia

KAZI ya kuhakikisha afya ya mlaji na mtumiaji wa bidhaa inakuwa salama inafanywa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Tume ya Ushindani  na Mamlaka ya Viwango (TBS). Kwa sasa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Hatari ya kuwepo kwa dawa bandia katika nchi za Afrika

Idadi kubwa ya dawa bandia zinazohusishwa na virusi vya corona zinauzwa katika nchi zinazoendelea, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari

 

9 years ago

MillardAyo

Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…

Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]

The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dawa katika riadha ni tatizo

Rais wa chama cha riadha duniani Lamine Diack amesema matumizi ya dawa za kusisimua misuli katika riadha ni tatizo

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa maduka ya dawa tatizo nchini

Dar es Salaam. Chama cha Mafamasia nchini (PST) kimesema matatizo mengi yatokanayo na matumizi mabaya ya dawa yanasababishwa na uwepo wa maduka ya dawa yasiyo na wataalamu na yanayoendeshwa kiholela.

 

10 years ago

Mwananchi

Zolpidem dawa inayotibu tatizo la kukosa usingizi

Zolpidem ni dawa inayotumika kutibu matatizo ya kukosa usingizi. Dawa hiyo hutumika kwa maelekezo ya daktari. Zolpidem  ni jina la jumla  la dawa hii. Yapo majina amengi ya kibiashara ya dawa katika nchi tofauti ulimwenguni. Baadhi ya majina haya ni  Ambien, Ambien CR, Edluar, Intermezzo na Zolpimist.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yakiri tatizo la dawa za kusisimua misuli

Riadha ya Urusi ina tatizo na utumizi wa dawa za kulevya,lakini marufuku ya kutoshiriki katika michezo ya Olimpiki itawaadhibu wanariadha wasiotumia dawa hizo kulingana na katibu mkuu wa shirikisho la riadha nchini humo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yapania Kuondoa Tatizo la Dawa katika Hospitali za Umma

PIC 1

Mkurugenzi wa shughuli za Kanda na Huduma kwa wateja  toka Bohari ya Dawa (MSD) Bw. Edward Terry Kulia akizungumza na waandishi wa habari  leo katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo  juu ya mpango wa bohari hiyo kupanua maghala  ya kuhifadhi Dawa na Vifaa  tiba kama moja ya hatua za kuboresha huduma zinazotolewa na Bohari hiyo . Kushoto ni Mkurugenzi  wa Manunuzi wa Bohari hiyo  Bw. Heri Mchunga.

PIC 2

Mkurugenzi  wa Manunuzi  Bohari ya Dawa (MSD) Bw. Heri Mchunga akielezea kwa waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani