Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Riadha:Sheria dhidi ya dawa zatolewa

Shirika la riadha nchini AK limetoa orodha ya sheria za kukabiliana na wanaraidha wanaoutumia dawa za kusisimua misuli

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

drug injection

 

Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.

mtumiaji 2

Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.

Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog

“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli

Wiki iliyopita Kitengo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumizi ya dawa katika riadha ni tatizo

Rais wa chama cha riadha duniani Lamine Diack amesema matumizi ya dawa za kusisimua misuli katika riadha ni tatizo

 

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

11 years ago

Habarileo

Dawa dhidi ya ujangili yazidi kuiva

Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akikagua magari maalumu 11 aina ya Land Rover Defender yaliyokabidhiwa kwake na Mkurugenzi wa Frankfurt Zoological Society kwa Afrika, Robert Muir (katikati) kwa ajili ya kusaidia kupambana na ujangili nchini katika hafla iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam jana. Kulia ni Balozi mdogo wa Ujerumani nchini, Hans Koeppel. (Picha na Fadhili Akida).RAIS Jakaya Kikwete amesema changamoto mojawapo iliyopo nchini katika kupambana na ujangili, ni ukubwa wa hifadhi na kutokuwa na rasilimali watu wa kutosha.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ya ‘kisanii’

>Tanzania jana iliungana na mataifa mengine duniani katika kuadhimisha siku ya kupiga vita matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Sharjak azungumzia ushindi dhidi ya dawa za kulevya

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk Omar Dadi Sharjak amesema elimu kuhusu athari za dawa za kulevya na njia za kupambana nazo imepata mafanikio makubwa katika kudhibiti biashara ya dawa hizo na matumizi yake.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KUFANYIKA DAR

Mkurugenzi wa Zion Foundation,  Junior Zion,  na mratibu wa tamasha, Karen Dolah,  wakizungumza mbele ya waandishi wa habari ( hawapo pichani).
Waandishi wa habari wakiwasikiliza viongozi wa Zion Foundation.…

 

10 years ago

Habarileo

Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William LukuviSERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yafuta sheria dhidi ya ushoga

Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani