TAMASHA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KUFANYIKA DAR
Mkurugenzi wa Zion Foundation, Junior Zion, na mratibu wa tamasha, Karen Dolah, wakizungumza mbele ya waandishi wa habari ( hawapo pichani). Waandishi wa habari wakiwasikiliza viongozi wa Zion Foundation.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jun
MAONI: Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ya ‘kisanii’
10 years ago
Habarileo22 Apr
Dk Sharjak azungumzia ushindi dhidi ya dawa za kulevya
KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk Omar Dadi Sharjak amesema elimu kuhusu athari za dawa za kulevya na njia za kupambana nazo imepata mafanikio makubwa katika kudhibiti biashara ya dawa hizo na matumizi yake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini
Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.
Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog
“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli
Wiki iliyopita Kitengo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Vijana 1,526 waathirika na dawa za kulevya Dar
JUMLA ya vijana 1,526 mkoani Dar es Salaam wanapatiwa huduma ya matibabu yaliyotokana na athari za matumizi ya dawa za kulevya. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Uchukuzi, Dk....
10 years ago
Vijimambo05 Dec
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Tamasha la Kiswahili kufanyika Dar
9 years ago
VijimamboDAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR