Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KUFANYIKA DAR

Mkurugenzi wa Zion Foundation,  Junior Zion,  na mratibu wa tamasha, Karen Dolah,  wakizungumza mbele ya waandishi wa habari ( hawapo pichani).
Waandishi wa habari wakiwasikiliza viongozi wa Zion Foundation.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ya ‘kisanii’

>Tanzania jana iliungana na mataifa mengine duniani katika kuadhimisha siku ya kupiga vita matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Sharjak azungumzia ushindi dhidi ya dawa za kulevya

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk Omar Dadi Sharjak amesema elimu kuhusu athari za dawa za kulevya na njia za kupambana nazo imepata mafanikio makubwa katika kudhibiti biashara ya dawa hizo na matumizi yake.

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw.james Kaji akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika Vienna, Austria,imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika Mapambano Dhidi ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI IMEFANIKIWA KATIKA VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KWA ASILIMIA 90


Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa kliniki ya Methadone katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga.Kliniki hiyo imejengwa kwa thamani ya Sh milioni 17.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigela na kushoto kwake ni Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) James Kaji.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akikata utepe leo kuashiria uzinduzi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

drug injection

 

Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.

mtumiaji 2

Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.

Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog

“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli

Wiki iliyopita Kitengo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana 1,526 waathirika na dawa za kulevya Dar

JUMLA ya vijana 1,526 mkoani Dar es Salaam wanapatiwa huduma ya matibabu yaliyotokana na athari za matumizi ya dawa za kulevya. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Uchukuzi, Dk....

 

10 years ago

Mwananchi

Tamasha la Kiswahili kufanyika Dar

Tanzania itakuwa mwenyeji wa Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni litakaloandaliwa na Shirika la Kilimanjaro Dialogue Institute kuanzia tarehe 21-22 Machi 2015.

 

9 years ago

Vijimambo

DAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR

Sehemu ya Dawa za kulevya zilizoteketezwa jana katika Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam uku zikisimamiwa na majaji wa mahakama Kuu, jeshi la Polisi pamoja na mamlaka ya kudhibiti Dawa za kulevya hapa nchini Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani