Tamasha la Kiswahili kufanyika Dar
Tanzania itakuwa mwenyeji wa Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni litakaloandaliwa na Shirika la Kilimanjaro Dialogue Institute kuanzia tarehe 21-22 Machi 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s72-c/logochaukidu1.png)
Mkutano Mkuu wa CHAUKIDU na Tamasha la ukuzaji Kiswahili kufanyika Washington DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s1600/logochaukidu1.png)
Hayo yatafanyika hapa Washington DC.
Septemba mwaka jana nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa awali uliojadili mikakati ya mkutano na tamasha lijalo.
Baada ya hapo nilipata fursa kuzungumza na viongozi wa CHAUKIDU
Dr Leornard Muaka. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chaudiku. Na ni mwalimu wa lugha katika Chuo Kikuu cha Wiston Salem jimbo...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Mkutano wa Kiswahili wa utalii kufanyika Dar Octoba
10 years ago
Vijimambo05 Dec
9 years ago
Dewji Blog28 Aug
Tamasha la manunuzi kufanyika Dar Jmosi
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s640/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uL4ygJBZDgE/Vd97r_PNdgI/AAAAAAAACCY/T9qFaZ4n_YU/s640/Brand%2Bmenu-1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhI6q1MLn0A/Vd97sl9MXOI/AAAAAAAACCg/Cq44X1_xHbM/s640/Karibu%2BJumamosi%2BHii%2Bpale%2BTriniti%2Bsaa%2BNane%2B-%2BMbili%2BUsiku.jpg)
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya...
11 years ago
GPLTAMASHA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA KUFANYIKA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H8dqsRGd1c4/U3zNQZzOzXI/AAAAAAAFkQU/5zB5bBeIk-U/s72-c/unnamed.jpg)
Tamasha kubwa la watoto kufanyika Dar May 31 na June 1
![](http://1.bp.blogspot.com/-H8dqsRGd1c4/U3zNQZzOzXI/AAAAAAAFkQU/5zB5bBeIk-U/s1600/unnamed.jpg)
Hili ni tamasha kubwa zaidi litakalowakutanisha watoto wengi wa jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani kufurahia kwa pamoja michezo wanayoipenda zaidi na pia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-22WlU5-JNAQ/VV3T_jJ4S1I/AAAAAAAHY2w/_IM-BKRuIIM/s72-c/_MG_3712.jpg)
TAMASHA LA QASWIDA SASA KUFANYIKA MEI 31 JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-22WlU5-JNAQ/VV3T_jJ4S1I/AAAAAAAHY2w/_IM-BKRuIIM/s640/_MG_3712.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6h4i8Z2BzeE/VV3UCTd68QI/AAAAAAAHY28/8ZIUcC5qS1Y/s640/_MG_3720.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3y0X6hEUSjvRwl3y3oA5C-m6TGtL*5P4M6iXKXGCk-N6YX0tILzaUhf1OorxcJgi3N*7Ny8q-x1T232YjVHnhwK/PWANIposter1.jpg?width=750)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s72-c/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s640/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...