TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s72-c/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s72-c/Mbili.jpg)
POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s640/Mbili.jpg)
Nuya Essence.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_INDtSQ1jpE/VlP8aQISA6I/AAAAAAAAL88/HJngUSr5Hfo/s640/Moja.jpg)
Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqT2ohdtK54/VlP8bXkLpfI/AAAAAAAAL9E/KM6BASJWO2s/s640/nne.jpg)
Secret Habits Seller servings customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/--C0fLaJhH3k/VlP8ZTwD8lI/AAAAAAAAL8w/Sbsq9VsD_6c/s640/Tatu.jpg)
Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...
9 years ago
Dewji Blog28 Aug
Tamasha la manunuzi kufanyika Dar Jmosi
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s640/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uL4ygJBZDgE/Vd97r_PNdgI/AAAAAAAACCY/T9qFaZ4n_YU/s640/Brand%2Bmenu-1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhI6q1MLn0A/Vd97sl9MXOI/AAAAAAAACCg/Cq44X1_xHbM/s640/Karibu%2BJumamosi%2BHii%2Bpale%2BTriniti%2Bsaa%2BNane%2B-%2BMbili%2BUsiku.jpg)
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Freconic...
10 years ago
VijimamboJUMA NATURE NA WENZAKE KUITEKA DAR ES SALAAM KATIKA TAMASHA LA KOMAA LITAKALOFANYIKA JUMAMOSI UKUMBI WA DAR LIVE MBAGALA
11 years ago
Michuzi09 May
Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori kufanyika Jumamosi hii Kijitonyama, Dar es salaam
10 years ago
MichuziTamasha la Miaka 16 ya Home Gym kufanyika Septemba 6, 2014 uwanja wa mwenge, Dar es salaam
9 years ago
VijimamboTAMASHA LA FAHARI YA MWAFRIKA KUFANYIKA OKTOBA 3,2015 CLUB YA ESCAPE ONE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM