POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s72-c/Mbili.jpg)
Na Mwandishi WetuWASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oyster bay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s640/Mbili.jpg)
Nuya Essence.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_INDtSQ1jpE/VlP8aQISA6I/AAAAAAAAL88/HJngUSr5Hfo/s640/Moja.jpg)
Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqT2ohdtK54/VlP8bXkLpfI/AAAAAAAAL9E/KM6BASJWO2s/s640/nne.jpg)
Secret Habits Seller servings customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/--C0fLaJhH3k/VlP8ZTwD8lI/AAAAAAAAL8w/Sbsq9VsD_6c/s640/Tatu.jpg)
Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s72-c/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s640/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4CCNyjV9GWs/Vl6ccRbd8ZI/AAAAAAAAL-4/PBQDHaHdJ0U/s72-c/download.jpg)
POP UP BONGO ILIVYOFANA, TRINITI BAR OYSTERBAY.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4CCNyjV9GWs/Vl6ccRbd8ZI/AAAAAAAAL-4/PBQDHaHdJ0U/s640/download.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QRljX_WCJsg/Vl6bQUTNwII/AAAAAAAAL9w/l7urYIE61BI/s640/download.jpg)
ONESHO la mauzo ya bidhaa mbalimbali zitengenezwazo na wabunifu wa hapa nchini, Pop Up Bongo lilifanyika hivi karibuni na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.
Mratibu wa onesho hilo lililofanyikia...
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
POP UP BONGO ilivyofana, Triniti Bar Oysterbay chini ya udhamini wa SMIRNOFF
![](http://3.bp.blogspot.com/-4CCNyjV9GWs/Vl6ccRbd8ZI/AAAAAAAAL-4/PBQDHaHdJ0U/s640/download.jpg)
Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gyj5toMNOwQ/Vl6a9I1bhPI/AAAAAAAAL9k/nV6ReFyhMzc/s640/download.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QRljX_WCJsg/Vl6bQUTNwII/AAAAAAAAL9w/l7urYIE61BI/s640/download.jpg)
Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.
Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa Mbezi Garden alikuwapo pia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffAmVnFnVuQ/Vl6bQ6chCbI/AAAAAAAAL90/fHjCy4QFTkE/s640/Pg%2B28%2BPop%2BUp%2BBongo.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini wa lebo ya Branoz Collection, Bahati Kombe (katikati) akipanga bidhaa zake wakati wa Tamasha la Pop Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oysterbay chini ya udhamini wa kinywaji cha...
11 years ago
Michuzi09 May
Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori kufanyika Jumamosi hii Kijitonyama, Dar es salaam
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nUG5sEgOjQ8/VgIZxGSTfhI/AAAAAAAH608/LpKw9GjlQWw/s72-c/st.Joseph.jpg)
St. Joseph & Forodhani ALUMNI kufanyika Jumamosi hii Septemba 26, 2015 viwanja vya St Joseph Cathedral High School jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-nUG5sEgOjQ8/VgIZxGSTfhI/AAAAAAAH608/LpKw9GjlQWw/s320/st.Joseph.jpg)
St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...
9 years ago
Bongo527 Nov
Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar
![Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk-300x194.jpg)
KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...
9 years ago
GPLHAPATOSHI JUMAMOSI HII VIWANJA VYA DON BOSCO OYSTERBAY
9 years ago
MichuziHAPATOSHA JUMAMOSI HII VIWANJA VYA DON BOSCO OYSTERBAY
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCYUzfaAzhc/Vfp2qCGodxI/AAAAAAAH5hs/m7FBSUUjGdo/s640/002.KUNDI.jpg)
Moja...