POP UP BONGO ILIVYOFANA, TRINITI BAR OYSTERBAY.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4CCNyjV9GWs/Vl6ccRbd8ZI/AAAAAAAAL-4/PBQDHaHdJ0U/s72-c/download.jpg)
Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.
Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.
Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa Mbezi Garden alikuwapo pia.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
ONESHO la mauzo ya bidhaa mbalimbali zitengenezwazo na wabunifu wa hapa nchini, Pop Up Bongo lilifanyika hivi karibuni na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.
Mratibu wa onesho hilo lililofanyikia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
POP UP BONGO ilivyofana, Triniti Bar Oysterbay chini ya udhamini wa SMIRNOFF
![](http://3.bp.blogspot.com/-4CCNyjV9GWs/Vl6ccRbd8ZI/AAAAAAAAL-4/PBQDHaHdJ0U/s640/download.jpg)
Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gyj5toMNOwQ/Vl6a9I1bhPI/AAAAAAAAL9k/nV6ReFyhMzc/s640/download.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QRljX_WCJsg/Vl6bQUTNwII/AAAAAAAAL9w/l7urYIE61BI/s640/download.jpg)
Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.
Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa Mbezi Garden alikuwapo pia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffAmVnFnVuQ/Vl6bQ6chCbI/AAAAAAAAL90/fHjCy4QFTkE/s640/Pg%2B28%2BPop%2BUp%2BBongo.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini wa lebo ya Branoz Collection, Bahati Kombe (katikati) akipanga bidhaa zake wakati wa Tamasha la Pop Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oysterbay chini ya udhamini wa kinywaji cha...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s640/Mbili.jpg)
Nuya Essence.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_INDtSQ1jpE/VlP8aQISA6I/AAAAAAAAL88/HJngUSr5Hfo/s640/Moja.jpg)
Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqT2ohdtK54/VlP8bXkLpfI/AAAAAAAAL9E/KM6BASJWO2s/s640/nne.jpg)
Secret Habits Seller servings customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/--C0fLaJhH3k/VlP8ZTwD8lI/AAAAAAAAL8w/Sbsq9VsD_6c/s640/Tatu.jpg)
Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s72-c/Mbili.jpg)
POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Pop Up Bongo kufunga mwaka
Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la Pop Up Bongo linatarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii, ambapo litawakutanisha wasanii mbalimbali pamoja na wadau wa biashara.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Trinity, Oysterbay, Novemba 28, ambapo hufanyika kila baada ya miezi mitatu likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff.
Akizungumza kuhusiana na tamasha hilo, mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli, alisema kuwa milango itafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa mbili...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s72-c/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s640/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HChpUr1rla8/XnJL_mIKIwI/AAAAAAALkU8/zVi-NrGMzyQfX56Z8dW0C3kADpiabL5aQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
9 years ago
TheCitizen30 Oct
Diamond sets the bar for Bongo Flava
10 years ago
Bongo510 Nov
New Video: Rachel K f/ Ms. Triniti — Application
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Tonight: THE BEAT FESTIVAL @ Triniti
Venue: Triniti, Msasani rd. 26, Oysterbay DSM
Entrance: 10.000 tsh only
This edition of THE BEAT celebrates the return of a group of Tanzanian musicians from their European tour, which took place in Germany and Denmark in September and October 2014, featuring Mopao Jazz, Malfred, Mzungu Kichaa and Ashimba. The aim is to bring the energy from this tour to THE BEAT FESTIVAL.
DAVID TINNING (Santuri Safari) – 20.00 – 21.30 & 00.30 – 02.00
David Tinning has been...