Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POP UP BONGO ilivyofana, Triniti Bar Oysterbay chini ya udhamini wa SMIRNOFF

Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.

Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.

Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa   Mbezi Garden alikuwapo pia.

Mbunifu wa mavazi nchini wa lebo ya Branoz Collection, Bahati Kombe (katikati) akipanga bidhaa zake wakati wa Tamasha la Pop Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oysterbay chini ya udhamini wa kinywaji cha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

POP UP BONGO ILIVYOFANA, TRINITI BAR OYSTERBAY.



Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa Mbezi Garden alikuwapo pia.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
ONESHO la mauzo ya bidhaa mbalimbali zitengenezwazo na wabunifu wa hapa nchini, Pop Up Bongo lilifanyika hivi karibuni na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.

Mratibu wa onesho hilo lililofanyikia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar

Nuya Essence.

Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.

Secret Habits Seller servings customers.

Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.

Na Mwandishi Wetu

WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika  tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.

Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...

 

9 years ago

Michuzi

POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM

Na Mwandishi WetuWASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oyster bay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo. 
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Kriket chini ya udhamini wa Fastjet

Moja

Wachezaji wa timu ya Kriket ya Uganda wenye umri wa chini ya miaka 19 wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (juzi) kutokea Kampala, Uganda kwa ziara ya siku tano ya mchezo huo hapa nchini chini ya udhamini wa Kampuni ya ndege ya Fast Jet.

Mbili

Wachezaji wa timu ya Kriket ya Uganda wenye umri wa chini ya miaka 19 wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (juzi)kutokea Kampala, Uganda kwa ziara ya siku tano ya mchezo huo hapa nchini chini ya...

 

9 years ago

Michuzi

POP UP SHOP YANOGESHA MAANDALIZI YA SWAHILI FASHION WEEK CHINI YA VODACOM

Mwanamitindo atakaye shiriki kwenye maonesho ya Swahili Fashion Week, Nancy Bondo (kulia) akimvisha shanga ya shingoni mteja wake Francisca Mawala,mara baada ya kuinunua wakati wa maonesho ya ” Pop Up Shop”yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika makazi ya Balozi wa Itali nchini ikiwa ni maandalizi kwa wanamitindo nchini kuelekea Onesho la Swahili Fashion week litakalofanyika Disemba 4-6 2015 na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.Mwanamitindo atakaye shiriki kwenye maonesho ya Swahili Fashion...

 

9 years ago

Mtanzania

Pop Up Bongo kufunga mwaka

Na Mwandishi Wetu

TAMASHA la Pop Up Bongo linatarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii, ambapo litawakutanisha wasanii mbalimbali pamoja na wadau wa biashara.

Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Trinity, Oysterbay, Novemba 28, ambapo hufanyika kila baada ya miezi mitatu likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff.

Akizungumza kuhusiana na tamasha hilo, mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli, alisema kuwa milango itafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa mbili...

 

9 years ago

Vijimambo

FM ACADEMIA WADONDOSHA SHOW YA NGUVU JIJINI MBEYA CHINI YA UDHAMINI YA KINYWAJI CHA K-VANT GIN

Wanamuziki wa Bendi ya Fm Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wakitoa burudani kwa mashabiki wao siku ya uzinduzi wa Hotel ya Mfikemo Sae jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.Picha Elvis Kimambo Jamiimojablog Mashabiki na wadau wa Fm Academia wakiserebuka katika onyesho hilo. Mkurugenzi wa Hotel ya Mfikemo Ndugu Lwitiko Mwandembele (katikati) Jofrey Ananiah kulia na wengine wakifurahia jambo siku ya uzinduzi wa hotel hiyo ambapo kuliambatana na onyesho la Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Meneja...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO

Na Mwandishi Wetu

TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kulia) akisisitiza jambo kwa baadhi ya Watendaji wa Wizara hii pamoja na Wajumbe wa Ukaguzi Mradi wa Dar City  walipokuwa katika Kikao cha Kuwasilisha Taarifa  ya Ukaguzi wa Mradi huo, unaohusisha Ujenzi wa Nyumba za Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kijitonyama na Kituo cha Polisi Oysterbay. Kikao hicho kilifanyika, Jijini Dodoma leo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kulia)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani