Timu ya Kriket chini ya udhamini wa Fastjet
Wachezaji wa timu ya Kriket ya Uganda wenye umri wa chini ya miaka 19 wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (juzi) kutokea Kampala, Uganda kwa ziara ya siku tano ya mchezo huo hapa nchini chini ya udhamini wa Kampuni ya ndege ya Fast Jet.
Wachezaji wa timu ya Kriket ya Uganda wenye umri wa chini ya miaka 19 wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (juzi)kutokea Kampala, Uganda kwa ziara ya siku tano ya mchezo huo hapa nchini chini ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
POP UP BONGO ilivyofana, Triniti Bar Oysterbay chini ya udhamini wa SMIRNOFF
![](http://3.bp.blogspot.com/-4CCNyjV9GWs/Vl6ccRbd8ZI/AAAAAAAAL-4/PBQDHaHdJ0U/s640/download.jpg)
Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gyj5toMNOwQ/Vl6a9I1bhPI/AAAAAAAAL9k/nV6ReFyhMzc/s640/download.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QRljX_WCJsg/Vl6bQUTNwII/AAAAAAAAL9w/l7urYIE61BI/s640/download.jpg)
Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.
Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa Mbezi Garden alikuwapo pia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffAmVnFnVuQ/Vl6bQ6chCbI/AAAAAAAAL90/fHjCy4QFTkE/s640/Pg%2B28%2BPop%2BUp%2BBongo.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini wa lebo ya Branoz Collection, Bahati Kombe (katikati) akipanga bidhaa zake wakati wa Tamasha la Pop Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oysterbay chini ya udhamini wa kinywaji cha...
9 years ago
VijimamboFM ACADEMIA WADONDOSHA SHOW YA NGUVU JIJINI MBEYA CHINI YA UDHAMINI YA KINYWAJI CHA K-VANT GIN
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Kampuni ya ndege ya Fastjet kuisafirisha Timu ya Taifa Stars kwenda Algeria
Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.
Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini Algeria kushiriki mchezo wa marudiano utakaofanyika Novemba 17 ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0nydazgwiiEqDGPmZAgiDDLzIKh9FGFcU0NdgMuL0R3oexnY-egtfFonylnpvk6AkVoSypmcuXsf4tFti74TSKs/ANDYCOLEINTZ2.jpg?width=650)
AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Uganda na Tanzania kuchuana :kriket
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Michuano ya Kriket Tanzania ni Alhamisi
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Michauno ya vijana Kriket yashika kasi
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Kriket: Tanzania hoi kwa Kenya
11 years ago
Bongo515 Jul
Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’