Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya Kriket chini ya udhamini wa Fastjet

Moja

Wachezaji wa timu ya Kriket ya Uganda wenye umri wa chini ya miaka 19 wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (juzi) kutokea Kampala, Uganda kwa ziara ya siku tano ya mchezo huo hapa nchini chini ya udhamini wa Kampuni ya ndege ya Fast Jet.

Mbili

Wachezaji wa timu ya Kriket ya Uganda wenye umri wa chini ya miaka 19 wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (juzi)kutokea Kampala, Uganda kwa ziara ya siku tano ya mchezo huo hapa nchini chini ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

POP UP BONGO ilivyofana, Triniti Bar Oysterbay chini ya udhamini wa SMIRNOFF

Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.

Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo.

Mmoja kati ya wanawake wajasiriamali mahiri mjini, Aika Lawere mmiliki wa   Mbezi Garden alikuwapo pia.

Mbunifu wa mavazi nchini wa lebo ya Branoz Collection, Bahati Kombe (katikati) akipanga bidhaa zake wakati wa Tamasha la Pop Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oysterbay chini ya udhamini wa kinywaji cha...

 

9 years ago

Vijimambo

FM ACADEMIA WADONDOSHA SHOW YA NGUVU JIJINI MBEYA CHINI YA UDHAMINI YA KINYWAJI CHA K-VANT GIN

Wanamuziki wa Bendi ya Fm Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wakitoa burudani kwa mashabiki wao siku ya uzinduzi wa Hotel ya Mfikemo Sae jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.Picha Elvis Kimambo Jamiimojablog Mashabiki na wadau wa Fm Academia wakiserebuka katika onyesho hilo. Mkurugenzi wa Hotel ya Mfikemo Ndugu Lwitiko Mwandembele (katikati) Jofrey Ananiah kulia na wengine wakifurahia jambo siku ya uzinduzi wa hotel hiyo ambapo kuliambatana na onyesho la Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Meneja...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya ndege ya Fastjet kuisafirisha Timu ya Taifa Stars kwenda Algeria

Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.

Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini Algeria kushiriki  mchezo wa marudiano utakaofanyika Novemba 17 ...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa (kushoto) akimuongoza mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole kwenda kuwafunda vijana wa timu ya Taifa chini ya miaka 17. Shughuli hiyo ilifanyika jana Dar es Salaam katika viwanja vya Karume mara baada ya mchezaji huyo kuzuru/kutembelea ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bwana Sunil Colaso.… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda na Tanzania kuchuana :kriket

Tanzania kucheza na Uganda katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Afrika Ligi Daraja la 1 itakayofanyika mjini Benoni .

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Kriket Tanzania ni Alhamisi

Timu za taifa za kriketi kutoka nchi za Kenya, Uganda na Namibia zitawasili Tanzania Alhamisi hii kwa ajili ya michuani ya ligi ya ICC-Afrika Division 1.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michauno ya vijana Kriket yashika kasi

Michuano ya kriket kwa vijana chini ya umri wa miaka 19 kuendela kutimua vumbi Jijin Dar es Salaa, Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriket: Tanzania hoi kwa Kenya

Wenyeji Tanzania wameshindwa kutamba mbele vijana wenzao wa Kenya baada ya kupokea kichapo kwa kufungwa kwa mikimbio 54 kwa 49.

 

11 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’

Hit maker wa Muziki Gani, Nay wa Mitego amefunguka kwa kudai kuwa amepandisha gharama za show zake mpaka milioni 5 kwa show za nje ya Dar Es Salaam. Nay wa Mitego akiwa nyumbani kwake na mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima Akizungumza na bongo5 leo, Nay , amesema imembidi apandishe gharama za show zake kutokana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani