Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kriket: Tanzania hoi kwa Kenya

Wenyeji Tanzania wameshindwa kutamba mbele vijana wenzao wa Kenya baada ya kupokea kichapo kwa kufungwa kwa mikimbio 54 kwa 49.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uganda na Tanzania kuchuana :kriket

Tanzania kucheza na Uganda katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Afrika Ligi Daraja la 1 itakayofanyika mjini Benoni .

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Kriket Tanzania ni Alhamisi

Timu za taifa za kriketi kutoka nchi za Kenya, Uganda na Namibia zitawasili Tanzania Alhamisi hii kwa ajili ya michuani ya ligi ya ICC-Afrika Division 1.

 

11 years ago

GPL

TANZANIA ELEVEN HOI KWA WAKONGWE WA REAL MADRID

Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akiwatoka wachezaji wa Tanzania Eleven wakati wa mechi hiyo. Mfungaji wa mabao matatu ya Wakongwe wa Real Madrid, Ruben de la Red akimiliki mpira…

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA HOI MAREKANI

Imelda Mtema Maskini! Miss Tanzania namba 2, 2005/06, Natalia Noel ambaye kwa hivi sasa anaishi katika Jimbo la Minnesota nchini Marekani, yupo taabani baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa mfumo wa damu (Lupus Nephritis) na kusababisha figo zake zote kushindwa kufanya kazi pamoja na moyo wake kuwa mkubwa hivyo kulala kitandani tu, wakati mwingine akisaidiwa na mashine ya kupumulia. Akiwa hospitali. Akizungumza kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michauno ya vijana Kriket yashika kasi

Michuano ya kriket kwa vijana chini ya umri wa miaka 19 kuendela kutimua vumbi Jijin Dar es Salaa, Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani