Kriket: Tanzania hoi kwa Kenya
Wenyeji Tanzania wameshindwa kutamba mbele vijana wenzao wa Kenya baada ya kupokea kichapo kwa kufungwa kwa mikimbio 54 kwa 49.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Uganda na Tanzania kuchuana :kriket
Tanzania kucheza na Uganda katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Afrika Ligi Daraja la 1 itakayofanyika mjini Benoni .
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Michuano ya Kriket Tanzania ni Alhamisi
Timu za taifa za kriketi kutoka nchi za Kenya, Uganda na Namibia zitawasili Tanzania Alhamisi hii kwa ajili ya michuani ya ligi ya ICC-Afrika Division 1.
11 years ago
GPLTANZANIA ELEVEN HOI KWA WAKONGWE WA REAL MADRID
Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akiwatoka wachezaji wa Tanzania Eleven wakati wa mechi hiyo. Mfungaji wa mabao matatu ya Wakongwe wa Real Madrid, Ruben de la Red akimiliki mpira…
5 years ago
CCM Blog
9 years ago
Bongo514 Nov
New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL
MISS TANZANIA HOI MAREKANI
Imelda Mtema Maskini! Miss Tanzania namba 2, 2005/06, Natalia Noel ambaye kwa hivi sasa anaishi katika Jimbo la Minnesota nchini Marekani, yupo taabani baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa mfumo wa damu (Lupus Nephritis) na kusababisha figo zake zote kushindwa kufanya kazi pamoja na moyo wake kuwa mkubwa hivyo kulala kitandani tu, wakati mwingine akisaidiwa na mashine ya kupumulia. Akiwa hospitali. Akizungumza kwa...
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani
Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Michauno ya vijana Kriket yashika kasi
Michuano ya kriket kwa vijana chini ya umri wa miaka 19 kuendela kutimua vumbi Jijin Dar es Salaa, Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania