Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Shule ya walemavu wa akili hoi kifedha

SHULE ya Msingi Maalumu ya Walemavu wa akili iliyoko katika Kijiji cha Mjimpya Wilayani Tandahimba, Mkoa wa Mtwara inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa fedha za kuendeshea shule hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindani:CCM iko hai au hoi?

Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujitathmini kwa kuwatembelea wananchi na wanachama wake kuangalia uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani yake ya 2010-2015

 

10 years ago

Mwananchi

CAG Profesa Assad asema moto ni uleule

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mpya, Profesa Mussa Assad amesema ataanza kazi kwa moto uleule ulioachwa na mtangulizi wake, Ludovick Utouh aliyestaafu.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Habarileo

Utafiti: Tanzania iko salama

TAASISI ya Utafiti ya Twaweza imezindua matokeo ya utafiti walioufanya hivi karibuni ukionesha asilimia 88 ya Watanzania wanaiona Tanzania iko salama. Matokeo ya utafiti huo wenye jina ‘Itikadi kali inavuma Tanzania’, yametokana na takwimu za sauti za watu 1,879 zilizopatikana kwa njia ya simu za mkononi kati ya Septemba 2 na Oktoba 11, mwaka huu .

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania iko tayari kujiunga na Umoja wa Fedha

Naibu Waziri wa Afrika Mashariki, Dk Abdulla Juma SaadallaTANZANIA iko tayari kuanza mchakato wa kujiunga na hatua ya Umoja wa Fedha wa Afrika Mashariki, ambao ni hatua ya tatu ya kufikia Umoja Kisiasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

 

9 years ago

GPL

MISS TANZANIA HOI MAREKANI

Imelda Mtema Maskini! Miss Tanzania namba 2, 2005/06, Natalia Noel ambaye kwa hivi sasa anaishi katika Jimbo la Minnesota nchini Marekani, yupo taabani baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa mfumo wa damu (Lupus Nephritis) na kusababisha figo zake zote kushindwa kufanya kazi pamoja na moyo wake kuwa mkubwa hivyo kulala kitandani tu, wakati mwingine akisaidiwa na mashine ya kupumulia. Akiwa hospitali. Akizungumza kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Iko siku nitashika nafasi kubwa Tanzania

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amesema kutimuliwa uanachama na Chadema ni dhoruba inayomkumba mwanasiasa yeyote anayefanikiwa na kwamba iko siku atashika “nafasi kubwa ya uongozi ya kuwatumikia Watanzania”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani