Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania iko tayari kujiunga na Umoja wa Fedha

Naibu Waziri wa Afrika Mashariki, Dk Abdulla Juma SaadallaTANZANIA iko tayari kuanza mchakato wa kujiunga na hatua ya Umoja wa Fedha wa Afrika Mashariki, ambao ni hatua ya tatu ya kufikia Umoja Kisiasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Azam iko tayari kuivaa El Merreikh

Klabu ya Azam ya Tanzania imesema wako tayari kuivaa ya El- Merreikh ya Sudan katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki iko tayari kunusuru uchumi wake

Serikali ya Ugiriki imeleezea imani yake kwamba mkataba kuhusu madeni yake, utafikiwa ndani ya saa arobaini na nane,

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.

 

9 years ago

Vijimambo

NAPE NNAUYE: ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI

Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akitolea ufafanuzi mambo mbalimbali kwa waandishi wa habari wakati akizungumza nao kwenye mkutano uliofanyika CCM Lumumba jijini Dar es salaam.Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akiionyesha ilani ya uchaguzi iliyopitishwa jana na Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma.Hii ndiyo Ilani yenyewe.Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo.Baadhi ya wapiga picha vyombo mbalimbali vya habari wakichukua matukio katika...

 

9 years ago

GPL

NAPE NNAUYE:ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI‏

Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akitolea ufafanuzi mambo mbalimbali kwa waandishi wa habari wakati akizungumza nao kwenye mkutano uliofanyika CCM Lumumba jijini Dar es salaam. Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akiionyesha ilani ya uchaguzi iliyopitishwa jana na Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma. Hii ndiyo Ilani yenyewe.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

ADC: Hatuko tayari kujiunga na Ukawa

NA AZIZA MASOUD, TANGA
CHAMA cha siasa cha ADC, kimesema hakiwezi kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuwa umoja huo una lengo la kuua vyama vidogo vya siasa.
Akizungumza katika viwanja vya Kwediboma wilayani Kilindi, mkoani Tanga juzi, Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Said Miraji, alisema Ukawa wana lengo la kuvidhoofisha vyama vidogo kupitia mpango wao wa kugawana majimbo kwa sera ya maeneo wanayokubalika.
“Ukawa wameonyesha udhaifu mkubwa wa kugawana majimbo kwa hoja ya...

 

9 years ago

Michuzi

CCM imethibitisha kuwa iko tayari endapo uchaguzi huo utapangwa tena na si vyenginevyo - Balozi Seif Ali Iddi

Makamu wa Pili wa  Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa ufafanuzi juu ya taarifa za vyombo mbalimbali vya habariWanahabari  wanapaswa kuwa makini zaidi katika utoaji wa Habari zao hasa kipindi hichi ambacho  Zanzibar  inaendelea kutafuta  njia muwafaka ya hatma yake ya baadaye kufuatia Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar { ZEC } kufuta  Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu baada ya kubaini hitilafu kadhaa katika zoezi zima la uchaguzi.Nasaha hizo zimetolewa na Makamu wa Pili wa  Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mtihani wa kujiunga na Umoja swa Mataifa kwa vijana waliobobea kitaaluma, 2015


Nembo ya UMKila mwaka, Umoja wa Mataifa hutafuta vijana waliobobea katika fani mbali mbali, ambao wapo tayari kuanza huduma ya kitaaluma kama wahudumu wa kimataifa wa umma. Mpango wa Vijana Waliobobea Kitaaluma, yaani YPP, huleta vipaji vipya kwa Umoja wa Mataifa kupitia kwa mtihani wa kila mwaka.Mwaka huu wa 2015, mtihani utafanyika mnamo tarehe 4 Disemba katika fani za Usimamizi, Masuala ya fedha, Mifumo ya takwimu, habari, masuala ya kijamii na Masuala ya Sheria.Ili kushiriki mtihani huu,...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA TAASISI ZA FEDHA ZENYE MASHARTI NAFUU YA MIKOPO

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWANAWAKE wametakiwa kujiunga katika taasisi za fedha ambazo zinaainisha mikopo ya wajasiriamali hiyo itasaidia wanawake kujikwamua na umasikini.
Hayo ameyasema leo Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Sophia Simba wakati wa uzinduzi wa mpango Fanikisha Plus  wa wajasirimali unaondeshwa na benki ya Equity iliyofanyika leo katika ukumbi JB,Belmote jijini Dar es Salaam.
Sophia amesema wanawake umefika wakati kutumia fursa ambazo taasisi za fedha zenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani