Mtihani wa kujiunga na Umoja swa Mataifa kwa vijana waliobobea kitaaluma, 2015
Nembo ya UMKila mwaka, Umoja wa Mataifa hutafuta vijana waliobobea katika fani mbali mbali, ambao wapo tayari kuanza huduma ya kitaaluma kama wahudumu wa kimataifa wa umma. Mpango wa Vijana Waliobobea Kitaaluma, yaani YPP, huleta vipaji vipya kwa Umoja wa Mataifa kupitia kwa mtihani wa kila mwaka.Mwaka huu wa 2015, mtihani utafanyika mnamo tarehe 4 Disemba katika fani za Usimamizi, Masuala ya fedha, Mifumo ya takwimu, habari, masuala ya kijamii na Masuala ya Sheria.Ili kushiriki mtihani huu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Jul
FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA UMOJA WA MATAIFA
![](http://vignette2.wikia.nocookie.net/godzilla/images/e/ef/U.N._Logo.jpg/revision/latest?cb=20141002175403)
What is the UN Young Professionals Programme?The Young Professionals Programme (YPP) is a recruitment initiative for talented, highly qualified professionals to start a career as an international civil servant with the United Nations Secretariat. It consists of an entrance examination and professional development programmes once successful candidates start their career with the UN.Who can apply?Any...
9 years ago
Michuzi08 Dec
MRADI WA VIJANA WAMFURAHISHA MRATIBU WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI
![IMG_6250](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_6250.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Mar
MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA UMOJA WA MATAIFA
![P1130382](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/P1130382.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/P1130382.jpg)
MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3SaSFgHsLNA/default.jpg)
Video ya Matukio ya mwaka 2015 katika Umoja wa Mataifa
Matukio ya mwaka 2015, yanakumbusha changamoto ambazo Umoja wa Mataifa umekumbana nazo katika miaka 70 ya tangu kuanzishwa kwake- lakini yanatupatia muhtasari wa mafanikio yatokanayo na...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0029.jpg)
UNIC YAHAMASISHA VIJANA MKOANI DODOMA KUANZISHA VILABU VYA UMOJA WA MATAIFA MASHULENI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oXiqYXXZ4xU/VJexAauZ3DI/AAAAAAAAOik/0yYvX-ItFgo/s72-c/dsc_0134.jpg)
JKT YATANGAZIA VIJANA WA KUJITOLEA WANAOTAKA KUJIUNGA NA MAFUNZO MWAKA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-oXiqYXXZ4xU/VJexAauZ3DI/AAAAAAAAOik/0yYvX-ItFgo/s640/dsc_0134.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga ametangaza kuwa vijana wote wanaotaka kujiunga na mafunzo ya jeshi la kujenga taifa kwa utaratibu wa kujitolea mwaka 2015, wasidanganyike kwa kupatiwa fomu za kujiunga na mafunzo hayo hivi sasa, na badala yake wafuate utaratibu huu hapa chini.
Bofya hapa
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Tanzania yang’ara Kimataifa,Asasi yake yatwaa tuzo ya Ikweta 2015 zinazotolewa na Umoja wa Mataifa-UN
Bi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na kupiga vita umaskini.Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni dola za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...